Hii ilikuwa wazi kama Lowassa kushinda urais.....
wamenikera kweli
Hahhahaha fridah kakomeshea. Hadi mauno na takeu styleFrida nyoko kupewa kukaribishwa siti na angel kamtoa shenzi sana
Lakini sioni mchango wa kura tunazopiga kwa sababu mtu aki underperfom on the spot kapotezwa..
Kayumba ndo mshindi
Diamond ana perform leo??
Maskini angel
Hivi nyinyi Huwa mnadhani kila kitu ni Siasa uchwara za kujidanganya hapa
I guess so, ni kati ya wasanii walitangazwa kuwepo at the final.