Mr.laravel
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 471
- 514
Kura ni maneno tu ila say ya mwisho iko kwa majajiLakini sioni mchango wa kura tunazopiga kwa sababu mtu aki underperfom on the spot kapotezwa..
Kura ni maneno tu ila say ya mwisho iko kwa majajiLakini sioni mchango wa kura tunazopiga kwa sababu mtu aki underperfom on the spot kapotezwa..
Lakini tuwe fair, hata kama kayumba ana back up but amejua kujibeba haswaa. Hadi hapo alipo ni juhudi zake binafsiHapa majaji wamekuwa fair, mshindi ni Kayumba au Naseeb Fanabo. Nasikia kayumba ana back up ya kiongozi wa yamoto band so atashinda tu
viatu hivi AIKA asipoanguka sijui
dah why awe na back upHapa majaji wamekuwa fair, mshindi ni Kayumba au Naseeb Fanabo. Nasikia kayumba ana back up ya kiongozi wa yamoto band so atashinda tu
Frida nyoko kupewa kukaribishwa siti na angel kamtoa shenzi sana
Nimependa hii burudani ya hawa wadada na huyu dogo wanatumbuiza hivi sasa, sijui wanajiitaje?
daa angel out
Hapa majaji wamekuwa fair, mshindi ni Kayumba au Naseeb Fanabo. Nasikia kayumba ana back up ya kiongozi wa yamoto band so atashinda tu
Nimependa hii burudani ya hawa wadada na huyu dogo wanatumbuiza hivi sasa, sijui wanajiitaje?
I guess so, ni kati ya wasanii walitangazwa kuwepo at the final.
Navy kenzo (nahreel na aika)Nimependa hii burudani ya hawa wadada na huyu dogo wanatumbuiza hivi sasa, sijui wanajiitaje?