Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Huyu Salama sjui namwonaje! Yuko rough sana yani hayuko presentable! Hata kama anataka kuonekana kiume,bado angeweza kuwa smart
 
Am sorry to say this...Angel na Kev GERARAHIA
 
Kuna makosa wanayafanya mwishoni itakuja itakuja kuonekana kama wamekuja na majina mfukoni.

1. Fela hakutakiwa kwenda kumtunza dogo. Alitakiwa awe neutral
2. MC hakutakiwa kumwambia arudie kipart. Anatakiwa awe neutral
 
Huyu kayumbaa ni vema apate mfadhili tuu! Pesa apewe fridaa mwee!! Hahaha ni mtazamo wangu tuu maana kale katoto ni kasaniii
 
According to madam rekebiahen kauli
Don't betting on game like this because no one here bear witness on kujumlisha kura zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom