Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Weee daddy umeona wapi hiyo kitu aisee? Ndo walovyomaanisha kuwa watashare kiti ama? Obvious muunganiko wao utawapa kura nyingi. But nahisi judges watakuwa na means yao ya kujudge kura zao
Heaven Sent halafu mbona sielewi..Nimeona sehemu Frida na Angel wana namba moja ya kupigiwa kura..Hili sio bao la mkono kweli??..Kama kigezo ni kura za wananchi..Hawa watu(angel+frida) obvious watakuwa na kura nyingi zaidi..Hii sijui imekaaje
Last edited by a moderator: