Bongo movies...

Bongo movies...

Dah,Jambazi lazima avae koti lefu na miwani nyeusi!
 
-movie inapoanza tu tayari unajua itaishaje.
-asilimia kubwa ya movies lazima kuna harusi au msiba.
-scene inaonyeshwa kuanzia mtu anaanza kula, anashushia na maji, kama ni shughuli speech nzima inaonyeshwa.
-halafu Ray hata kushangaa hadi asome script, utamsikia mama weee ile ya kusoma kwa karatasi
 
-movie inapoanza tu tayari unajua itaishaje.
-asilimia kubwa ya movies lazima kuna harusi au msiba.
-scene inaonyeshwa kuanzia mtu anaanza kula, anashushia na maji, kama ni shughuli speech nzima inaonyeshwa.
-halafu Ray hata kushangaa hadi asome script, utamsikia mama weee ile ya kusoma kwa karatasi

Hahahaa..duh hiyo ya kushangaa kwa script noumaa..
 
Anayesimulia story yake lazima flashback ziwepo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom