Hilo sio tatizo sana. Ishu ni title yenyewe! Kuna title zinachekesha jamani eti "PREGNANT" au "SECOND WIFE ( Nyumba ndogo)"
Hivi kweli Second wife ni nyumba ndogo? Navyofaham Second wife ni "mke wa pili" tena halali..
Puh! Huwa naishiaga tu kuziona kwenye mabasi nikisafiri kwenda mikoani lakini nyumbani kwangu NO!
Wanatia aibu kwenye tafsiri ya scripts..kwa mfano, unamkuta mtu anahanikiza mama! mama! mama! ---tafsiri yake kwenye script ya kiingereza inasomeka hivi: mother! mother! mother!