Asee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa unajiuliza inamaana awa watu hawafanyi tafiti kwanza jinsi mambo yalivyo. We tangu lini mfungwa akavaa heleni
Nyingine niliona et mkuu wa kituo cha polisi ni koplo afu anampa maagizo inspector wa polisi asee
Nilichoona hawa watu ninawavivu ata kujua taratibu za mambo mbali mbali yanavyoenda. Emu ona picha mwenyewe