Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?![]()
![]()
![]()
Tangia Dar aporti wachukue na kutonirudishia vito vyangu nilivyodondosha pale kwenye skanar sina hamu ya kupita hapo tena