Bombardier vs Kilimanjaro express vs Shabiby

Bombardier vs Kilimanjaro express vs Shabiby

Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE

Nichague nini?
4b85478cfa8255c69c9322760005e827.jpg

83c9e97b28aa65bc00d9916f0f9aa2f6.jpg
6180233655c2d5c0aab4201a5f63bf69.jpg

Tangia Dar aporti wachukue na kutonirudishia vito vyangu nilivyodondosha pale kwenye skanar sina hamu ya kupita hapo tena
 
Ndio
Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE

Nichague nini?
4b85478cfa8255c69c9322760005e827.jpg

83c9e97b28aa65bc00d9916f0f9aa2f6.jpg
6180233655c2d5c0aab4201a5f63bf69.jpg
[/QUOTE
Ndio maana mkuu wa magogoni alitaka malaika washukie hii mitandao ya kijamii.Nimebaki kucheka tu..
 
Safari ilikuwa ndefu lakini nashukuru nimerudi tena dar es salaam .
Nashukuru mlionipa ushauri kwani wengi mlinitaka nipande shabiby,hivyo nilienda na shabiby lakini nimerudi na Kilimanjaro express.
 
Dhihaka imetoka wapi tena? Vyote ni vyombo vya usafiri mkuu au sababu Q400 inapita angani? Acha ushamba basii !
Mkuu inawezekana wewe kupanda ndege ni anasa, huwezi kulinganisha hata ndege yenye pangaboi moja pale mbele na basi la aina yoyote. Ndege ni Ndege na Basi ni Basi.....
 
Acha uboya!,vyombo vya usafiri vinavyofanana?
BOMBA DIA .............,..............YUTONG BUS
-chombo cha usafiri. , chombo cha usafiri
-inapita angani. , -nchi kavu
-ina siti 2/2. , -ina siti 2/1
-ina makelele mengi. , -haina kelele
(Kama una presha
Hupandi)
- toilet inside. , -toilet inside also.
-haina tv mpaka
Kwenye siti. , - TV kila siti
-Nauli kubwa. , -Nauli ya kawaida
-kama ww ni bonge. , -wanaweza wakakaa
Inabidi ulipie siti2 mabonge hata wawili
(Siti zimebanana). Kwenye siti moja

LETE TOFAUTI ZAKO NA WEWE MKUU
Mkuu, ingekuwa sector ya Aviation inakuhusu hizi fikra finyu usinge ziandika. Kawaida hujenga mazoea, mtu wa basi ni mtu wa basi tu. mawazo yake yanajionyesha. hii kiboko sijapata sikia, Unalinganisha flight na Bus.

Vipi kuhusu Safety na Time...Mbona huvizungumzii...??
 
Safari ilikuwa ndefu lakini nashukuru nimerudi tena dar es salaam .
Nashukuru mlionipa ushauri kwani wengi mlinitaka nipande shabiby,hivyo nilienda na shabiby lakini nimerudi na Kilimanjaro express.
Hongera sana mkuu, shetani asikushauri upande bombadia.
 
Wewe umekariri mkuu!
sio kukariri, tunatofautiana uelewa...

Asilimia kubwa sana ya watu duniani wanapenda kusafiri na ndege, tatizo huwa ni kipato...kama una kumbuka kuliwahi kuwa na community airline, bei ilikuwa nafuu sana...watu walianza kuyakibia hayo mabasi unayoyaita Luxury...

Message umeipata...
 
Back
Top Bottom