DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,082
- Thread starter
- #21
Wengine hatujali muda,ilimradi TUMEPANDA KITU ROHO INAFURAHI (full luxury I mean)Zinafika muda sawa ziendako ?
Wengine hatujali muda,ilimradi TUMEPANDA KITU ROHO INAFURAHI (full luxury I mean)Zinafika muda sawa ziendako ?
Sasa shabiby inaenda arusha hiyo......wewe kweli dume surualiNaenda Arusha mkuu
Kumbee! Basi hii itanifaa sana mkuu coz naenda batanidah shabiby line,izo sifaa ase..ati bus ndani seats ni 1 by 2.afu inapendeza na iko vzuri balaaa
Duuh!! Mbona sijawahi sikia huu usafiri mkuu ? Na vipi suala la usalama?View attachment 453552 Panda fisi mkuu , stendi ipo hapo nyuma ya ubungo!
Usijali nitaenda MEMKWA,wacha Nile bata kwanzaChagua kurudi shule
Kabisa mkuuKapewa ofa na mwanamke.
Shabibi line mpango mzm haina tofauti na bombadia
Kama ni njia ya dodoma, Kimbinyiko wana mabasi sawa na Shabiby ila huduma zao wakati wa safari ni nzuri kuliko Shabiby mkuu.Pamoja Shabiby wana jina kubwa zaidi.dah shabiby line,izo sifaa ase..ati bus ndani seats ni 1 by 2.afu inapendeza na iko vzuri balaaa
Nitakwenda mpaka dodoma...hapo zipo zinazokwenda ArushaSasa shabiby inaenda arusha hiyo......wewe kweli dume suruali
Mkuu ...Angalia comment zako, usije ukajiona innocent baadae!Sishangai wewe kupanda ndege au basi ila namshangaa huyo mwanaume alie kupa hiyo ofa (kama ulvyo sema umepewa ofa).
WELL SAIDKama ni njia ya dodoma, Kimbinyiko wana mabasi sawa na Shabiby ila huduma zao wakati wa safari ni nzuri kuliko Shabiby mkuu.Pamoja Shabiby wana jina kubwa zaidi.
Mwenye picha ya bombadia aileteZina utofauti mkubwa sana.
Ushauri mzuri...kutembea ni utalii piaTembea tu
Hahahaaaa naitangaza bomba-dia mkuuHii ni mada au tangazo la biashara kweli wabongo wanatumia fursa bwana safi sanaaaaaa
Huna uwezo wa pangaboy kapande KilimanjaroNaombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?
WELL SAID
THIS IS KIMBINYIKO LUXURY
INSIDE
/QUOTE]
duh ase kumbe siku izi mabasi safi sana kwa usafir? vp gharama sio kubwa sana au ni kawaida kama mwanzo?/