Bombardier vs Kilimanjaro express vs Shabiby

Bombardier vs Kilimanjaro express vs Shabiby

Kama ni njia ya dodoma, Kimbinyiko wana mabasi sawa na Shabiby ila huduma zao wakati wa safari ni nzuri kuliko Shabiby mkuu.Pamoja Shabiby wana jina kubwa zaidi.
yeah kweli,mkuu...sema kingne katik shabiby kuna tv kila seat,sijajua kwa kimbinyiko sijaona...ila jamaa hao wa dom wako vizur sana ase.
 
Wee jamaa avatar yako na mambo yako vinaendana aisee..Si ajabu huezi tofautisha girlfriend wako na dadako. I love your avatar though......
mkuu mbona nawe umemuweka kwa avatr mtoto wa watu kipanga alizungumza mbele ya UN.ni mdgo wako au ndie weye?
 
kweli mkuu,si unaona hadi watyu tunavutika na hayo mabus adi tunataka tuyatumie katik safar zetu....vzur si jf ni huru.
Ni kweli shabiby na Kilimanjaro bus abiria wake hawana shida wapo kila kukicha.

JF ni Huru kweli haina shida wazo la waasisi kuanzisha wakina Melo waliona mbali sana na hayo ndiyo matokeo yake positive.
 
Ni kweli shabiby na Kilimanjaro bus abiria wake hawana shida wapo kila kukicha.

JF ni Huru kweli haina shida wazo la waasisi kuanzisha wakina Melo waliona mbali sana na hayo ndiyo matokeo yake positive.
good.
 
Hatimaye nimepata picha ya bombadia na ya shabiby

BOMBA DIA
23610900323a5ece29e09c2a84af52da.jpg


SHABIBY
6e0bbf6549848f97c96ebc8a6bcec3f2.jpg


TAHMEED
5ad69c6877ae8d3736ce0f2a3ab70938.jpg

INSIDE
e5845eb27a75b937a7c648b522e2fa8d.jpg
 
Naombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE

Nichague nini?
4b85478cfa8255c69c9322760005e827.jpg

83c9e97b28aa65bc00d9916f0f9aa2f6.jpg
6180233655c2d5c0aab4201a5f63bf69.jpg
ila bombardier wakati wa landing huwaga kuna shughuli!!
 
Back
Top Bottom