Kwani kinachokufanya bombadia ni kipi? Uwahi kufika ama?Tuko na different mind set...naomba niishie Hapa, wengine wataendelea...
Hata hiyo bombardier huijui unaleta ushabiki kwa sababu ya baadhi ya comments za wadau humu...
Kwani kinachokufanya bombadia ni kipi? Uwahi kufika ama?Tuko na different mind set...naomba niishie Hapa, wengine wataendelea...
Hata hiyo bombardier huijui unaleta ushabiki kwa sababu ya baadhi ya comments za wadau humu...
100% labda nipande ungo!!Hongera sana mkuu, shetani asikushauri upande bombadia.
Alafu ni mbishiiiWewe umekariri mkuu!
Amekataa kukupa like, mimi nimeshakupa LIKE yako.Bombadier hamna kitu mule!!!!!
Mbona huelewi!!!
Hata KIMBINYIKO inaizidi.
Bombadier (stone age) labda uipambanishe na KIPENGULE au THE BIG MAYAI sio haya ya 5th G
Sema mmiliki wa metro ni BAHILI ameshindwa kulifanya basi lake lionekane Kama shabibby au ratco. Japo yote ni daraja la juuUmesahau kuna metro iko kama shabbiby. Full toilet inside
WellKama umechoka kupanda ndege bas haina jinsi panda dar express
Mkuu, bado sijapanda bombardier us ATCL. Lakini nimeshapanda bombardier Sana za nchi nyingine, na ndio ndege zinazotumika sana tu kwa usafiri wa ndani, na safari za nje kwa nchi za jirani.Kwani kinachokufanya bombadia ni kipi? Uwahi kufika ama?
We bado hujamjua zito tu?Hata zitto aliponda hivihivi majuzi kapanda kimya kwa raha zake!
Mwambie maana amekazaana na hiyo bombardier ..Bombadier hamna kitu mule!!!!!
Mbona huelewi!!!
Hata KIMBINYIKO inaizidi.
Bombadier (stone age) labda uipambanishe na KIPENGULE au THE BIG MAYAI sio haya ya 5th G
Mkuu sidhani Kama kuna mtanzania mpanda ndege ambaye hajawahi kusafiri na basi. Ulichokiandika ni sahihi Karisa. Lakini sio Kama hawa jamaa wengine wanaleta ubishi usio wa lazima.Kama unapenda kufurahia safari na huna haraka pia ni kawaida yako kuoanda ndege napendekeza jaribu taste ingine Shabiby au Kimbinyiko Luxury hutajutia fedha zako na ni pungufu x5 ya Bombadier.
[emoji125]Hatujabisha undege wa Bombardier, bali tunasema hamna kitu mule, kama unaenda tunduru we panda "LEO" AMMIT, na kama waenda masasi panda "BUTI LA ZUNGU" au panda malory ya dangote utaunganisha mbele kwa mbele.
Hahahaa, mkuu tatizo Huwezi kutetea point yako.Bado unazidi kujichanganya...
[emoji574] hapana chezea bomba-dia wewe!!Bombadia naskia n bajaji pand shabibi
Umasikini ni adui mkubwa sana wa fikra....Hahahaa, mkuu tatizo Huwezi kutetea point yako.
Panda Shabiby uwahi ahera kama siyo ulemavu. Soma habari zake imeua wangapi mpaka 2017 ndo utaipenda