DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,085
- Thread starter
- #201
Sijakuelewa unamaanisha nini mkuu..Umasikini ni adui mkubwa sana wa fikra....
Au unamaanisha kuwa tajiri ndio chachu ya fikra pevu? Embu elezea vizuri mkuu..
Karibu..
Sijakuelewa unamaanisha nini mkuu..Umasikini ni adui mkubwa sana wa fikra....
Well saidSasa mwananchi utaendaje PEPONI kama hauta kufa.Ahera lazima tuende tu Kwa Shabiby Au Kwa Bombadier Au Kwa miguu
Nawenyewe washamba kweli hayo makaratasi si wayatoe maana yanaleta joto tuWELL SAID
THIS IS KIMBINYIKO LUXURY
![]()
INSIDE
![]()
![]()
WaTanzania uzalendo wetu umeporomoka kiasi hiki?kiasi cha kulinganisha ndege na basi!Au ni utani? Bombardier hii ingekua ya nchi nyingine tungeisifu kwa nyimbo na mapambio.Ni nani aliyetutoga?
Nawenyewe washamba kweli hayo makaratasi si wayatoe maana yanaleta joto tu
Uzalendo upi? Kwani nikiisifia bombardier na kuiponda Yutong ndio nitakuwa MZALENDO? Au ni uzalendo upi unaomaanisha wewe labda?WaTanzania uzalendo wetu umeporomoka kiasi hiki?kiasi cha kulinganisha ndege na basi!Au ni utani? Bombardier hii ingekua ya nchi nyingine tungeisifu kwa nyimbo na mapambio.Ni nani aliyetutoga?
Hahahaa...hapo kitu kimetoka bandarini mkuuNawenyewe washamba kweli hayo makaratasi si wayatoe maana yanaleta joto tu
Mbona sijawahi ona hapa ama ATR za precission zikishambuliwa au zikilinganishwa/zikifananishwa na Q400?Are you sure au unapiga stori. Kwanza Bombadia inatumia muda mfupi kuliko ATR
Hoja si kuisifia bombardier my dearest comrade.Hoja yangu ni kwamba in my humble opinion,kuilonganisha ndege ya shirika letu na bus ni kujaribu kuonesha kwamba ndege hii si kitu si lolote.In my view,we are called upon to call it what it is:Unafiki.Ndugu zangu, we shouldnt look at everything kwa macho ya kisiasa.As a result tunashindwa kuwa objectiveUzalendo upi? Kwani nikiisifia bombardier na kuiponda Yutong ndio nitakuwa MZALENDO? Au ni uzalendo upi unaomaanisha wewe labda?
Labda nilifikiri uzalendo wa kusifia vitu tulivyovitengeneza wenyewe mfano ile migari ya Nyumbu nk. Kumbe unamaanisha uzalendo wa kuisifia bombardier..!! Looh! Dunia hii jamani
Bora utembee kwa miguuNaombeni ushirikiano wenu,kwani next week nimepanga niende mkoa.
Kati ya
(a) BOMBA-DIA (bombadia nimepewa ofa nipande bure)
(b)KILIMANJARO EXPRESS
(c)SHABIBY LINE
Nichague nini?![]()
![]()
![]()
Hahahaa labda juice za kuchora!!Panda Kilimanjaro full ac, DVD, soda, maji ya Kilimanjaro, biscuits n.k. Kwani bombardier INA DVD? Na juice wanatoa?
Hapo utakuwa umeidharau ATRMbona sijawahi ona hapa ama ATR za precission zikishambuliwa au zikilinganishwa/zikifananishwa na Q400?
Mkuu mpaka hivi sasa, usafiri wa ndege Ndio usafiri salama kuliko aina nyingine zote za usafiri....Ningekushauri upande Kilimanjaro. Kwanza, unaitangaza Tz kuwa ina mlima wetu pendwa ambao Kenya wanasema atii ni wa kwawo. Pili, Kutembea huko angani aisee, si kama tress passing mkuu?? Unaenda kumkonyeza Maulana huko uani kwake. Sijui, naogopa yasije tokea yale ya Malaisia Air walivyo muudhi wakapotelea kwake hadi leo hakuna aliyewaona tena.
Umeshinda wewe mkuu!!Hoja si kuisifia bombardier my dearest comrade.Hoja yangu ni kwamba in my humble opinion,kuilonganisha ndege ya shirika letu na bus ni kujaribu kuonesha kwamba ndege hii si kitu si lolote.In my view,we are called upon to call it what it is:Unafiki.Ndugu zangu, we shouldnt look at everything kwa macho ya kisiasa.As a result tunashindwa kuwa objective
Nimekuelewa ila haya mabasi ya kisasa luxury ni habari ingine siyo yale mtwangio ni bora kuliko viti vya bombadierMkuu sidhani Kama kuna mtanzania mpanda ndege ambaye hajawahi kusafiri na basi. Ulichokiandika ni sahihi Karisa. Lakini sio Kama hawa jamaa wengine wanaleta ubishi usio wa lazima.
Mimi binafsi hayo mabasi nimesha safiri nayo sana tu, tangu enzi za Scandinavia...
Taste zote nazifahamu....
Mkuu mpaka hivi sasa, usafiri wa ndege Ndio usafiri salama kuliko aina nyingine zote za usafiri....
Well saidSo Sorry, Nakuambia, hakuna usafiri wowote ule ulio salama kabisaaa. Hukusikia kuwa ndege za abiria zilitumika kuangusha jumba refu kuliko yoote duniani?? Hukusikia dege la Malasia Air lilipotelea angani hadi leo hata kipande chake hakijaonekana?? Hata mwenda kwa miguu hujikwaa kitole akapoteza ukucha. Ukisafiri hata kwa bodaboda mshukuru Mungu urudipo salama, sio ulinzi mathubuti wa chombo.