Naona wengi mnanishauri nipande shabiby [emoji122]Panda shabiby mkuu
[emoji40]Acha kulinganisha bombadia na vitu vya kijinga
Mkuu...muda sio tatizo,nataka nitalii2Zinatumia muda gani kwa safari yako...?
Jaribu kutetea hilo neno "dharau" ili nikuelewe mkuuAcha Dharau Za Kijinga
Hayo ni maoni yako! Ahsante kwa kuchangia mkuuMtu mwenye akili timamu hawezi kulinganisha vitu hivi viwili kwa utofauti uliopo na tena wa wazi. Starehe si sofa. Hata kama ni sofa, zina material yapi? Kuweni watu wazima. Basi ya kichina na bombadier wapi na wapi?
Nitapunguza mkuu 'cute b'Ha ha ha acha bangi.
Hahaaa nimekusoma unacho maanisha mkuu ngoja nilete pichaa ..Uzi mzima hakuna Lumumba!
Kweli mkuu,wanasema "Mzaha mzaha Hutumbua usaha".[emoji818]Masihara mengine hayafai
Dom ndipo palipo na ikulu yetu kumbukayeah kweli,mkuu...sema kingne katik shabiby kuna tv kila seat,sijajua kwa kimbinyiko sijaona...ila jamaa hao wa dom wako vizur sana ase.
Haya talii2.....Mkuu...muda sio tatizo,nataka nitalii2
[emoji23] [emoji23] [emoji40]Una utani na joni wewe!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wanafikiri ni yutong mkuutangu lini Marcopolo ni basi ya kichina???
Acha masihara linaenda wapi hili...[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]RATCO EXPRESS (lumumba one)
![]()
![]()
![]()
Tanga moja hiyo.Acha masihara linaenda wapi hili...[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Umeona Ndege Ndo Ya Kupanda Bure Eti Umepewa Ofa Ukaona Haitoshi Unalinganisha Eti Na Mabus Huu Ni Wehu Na Dharau Za Kijinga.Jaribu kutetea hilo neno "dharau" ili nikuelewe mkuu