Boko Haram yawaachia huru mabinti 82

Boko Haram yawaachia huru mabinti 82

Nani kasema ushetani haupo? Ushetain upo, kama vile uchawi utaendelea kuwepo hadi Yesu atakapokuja kuwahukumu!. Ungelikuwa na ufahamu sahihi, ungegombana na waislam hao unaoema wanaharibu uislam ndani ya usilam. Sasa ukanza ku attack watu wanaoona ushetani mtupu, na wewe unayeona wanamsingizia mungu wako, bado hudiriki kutengeneza jambo la kuwazuia, kwa nini tusiamii kwamba uboko harabu na hayo mengine ni matawi ya uislam ambao hata mafundisho yake yameamurisha kufanya ushetani?

Wewe pigana na hao wanaokuchafua kama vinogozi wako watakubali. Inavyoonekana wewe ni mpchanga sana katika hili eneo. Waasisi wako, hao walio kwenye chungu, wananodoto za kuondoa watu wengine wote duniania wabaki peke yao. Na huo ni mkakati tu wanafnay.

Kwamba wakiwa sehemu ambayo wanazidiwa nguvu, wawe wapole na waonyeshe ushirikiano.

wakiwa sehemu wako wachache, waonyeshe upole and ushirkiano.

Sehemu wakipata nguvu, na wakiwa wengi, waanzishe vita vya kuhakikisha wanabadili watuwote kwa mapanga ama kubadki peke yao.

MIfano hapa tz. Wakti wa mwal. kwa sababu aikuwa mtu mwenye macho ya ndani ya nje, wakati huo mkiwa wachache sana, mliishi na binadamu kama watu bila kuwa na nia ovu na tulishirikian wote kwa upendo kama vile wote tu ni watu wa Mungu.

Baada ya nyerere, mkaanzisha mambo kwa kujua mmepata nguvu, tukaona na nyaraka za Kigom. Mlaima zinakwenda kwa tilte za "Huu ndio wakati wetu".

Mara tunaona maanznisha na vurugu za vita vya maguruwe kwa uwongo uwongo tu,. Hivi asingekuwa Mrema Augustino, mngetufikisha wapi? Mkaanzisha ma mihadhara ya matusi, kwa fujo sana mkidhani mmebak i peke yenu sasa, mkasahau kwamba kichwa bila mwili hakiweza kufanya yote.

Baadae tena hapo kati kati mkabaki mmedumaa baada ya kugundua kwamba kumbe hapa kwetu ninyi hamjafikia kimo ch akuanzisha fujo.

Tumeona hatua iliyofuata tena mkaja na mengi sana hadi kuchinja Mchungaji kule geita kwa sababu tu amehubiri washirkia wake "Wachinje mifugo yao, na wale wenyewe". Tumeona mmefanya mengi ya kipumgavue na bile watu wa Mungu, sijui ingekuwaje. Tumeona namna kichwa chenu kilivyoua elimu nchini eti kuwapa anfasi na nyinyi muwe wengi. Lakini uwezo mdogo na ndiyo sababu mnapwaya sana.

Mmeanzisha mambo mengi sana ikiwa na kuwaambia vijana wenu wa kike na wakiume waolewe ama waoe wa Kristo ili muwapunguze kwa idadi, na kisha mzae watoto wengi ii muongezeka. Kuna wengi waliotimiza hili jukumu walituzwa na fedha si kwa sababu ya kuwasaidia katika sherehe za arusi ama ndoa, bali ni kuwapongeza.

Mkajigundua bado mnapwaya, mkaanzisha shuruti eti kwenye sensa kuwe na tawkimu za dini!. Nani hakujua nia yenu? Eti mkantaka ujua mmekuwa wengi kiasi sgani mijpange kwa vurugu. Mengine ninaficha sitaki kuwapa faida.

Ninaomba nisizungumze mengi.

Kwa ufupi, mnatakiwa kushawishi dunia kwmba hizo vurugu si sehemu ya usislama. Mnavyozidi kuwa attack watu wanaolalamikia mienndo yenu ya vurugu, n akuwalinda hayo matawi yenu ya growth and sustainability (those who are waging war), mnazidi kuonyesh adunia kwamba ninyi ni tatizo kwa ulimwengu.

Njooni na matusi yenu, ambayo ndiyo karama yenu kubwa hapa mtukane kwa kuwa ni ibada kwenu, lakini kamwe hamtaubadilisha ukweli kwamba "shetani kazi yake ni kuiba, kuchinja na kuharibu', na kwamba kwake hakuna amani, na diyo sababu kila mahala alipo, (kwa maana ya wafuasi wake, wanaotumia roho zake shetani), hapana amani.

Asomaye na afahamu, na mwe macho haambiwi tazama.
Tatizo ni upeo wako!
 
No research no right to speak!
8bb3e99696b4b873c437e3b486a3e399.jpg
. Soma hii Qur'an 5:51
 
Kwahiyo Qur'an aya ya 5 mstari wa 51, Allah anawaambia waislam wasifanye urafiki na wakristo na wayahudi,na muislam akiwa na urafiki na mkristo adhabu yake ni kuwa adui wa mungu wa kiislam yaani Allah.
Hii inafanya muislam mshika dini yule anamchukia mkristo bila sababu ya msingi na kumfanyia matendo ya kikatili kama ugaidi N.K
 
Ni muda muafaka wa waislamu duniani kote kujipambanua kujitofautisha kati ya uislamu na ugaidi,alshabab na uislamu,boko haramu na uislamu,ushirikina na uislamu.
Yawezekana wengine msielewe yaani makundi yote hapo juu yanafanya uharamia wote mchafu na hatuoni mataifa ya kiislamu yakipinga ujinga huo.
Leo hii ni nani mtakayempa injili yenu akawakubali?.
Simameni peupe mukatae na kuwapinga hawa magaidi.Leo nchi zote ambazo ni muslim majority amani hakuna angalia somalia,libya,misri,palestina,iran na kwingineko tabu tupu.
Hivi huyo Mungu mnayemwabudu yuko likizo?.
Propaganga za dunia na chuki dhidi ya uislam, umesahau kama obama alikiri kufanya makosa kuivamia libya? Makundi mengi ya uharamia ni kutengenezwa na makafiri kuuchafua uislam. Fuatilia historia ya ISIS
 
Huo si uislamu hao ni bokoharam. Uchukie uponde waita mashetani sema na ukashifu huo uislam vile mnavyopenda. Huo uislam upo na utaendelea kuwepo na wanaouharibu uislam kama bokoharam, isis, al qaeda na taliban wataendelea kuwepo. Kwa hiyo wewe abudu mungu wako kwa njia yako na uwaombee wanaochafua na kuharibu hii dunia.
Yaani tunajua uislamu na sifa zake yaani ni kinyume kabisa na matendo ya makundi haya ndg.
Uislamu ni upendo,uislamu ni amani,uislamu ni rehema.Je nchi zote za kiislamu hayo hapo juu yapo?.
Bahati nzuri nchi za kiislamu mmekataa hata kuhubiriwa injili ya yesu kristo aliye hai ili muujue undani wa imani ya kikristo kama nyie mnavyotuhubiria tukasikia.Mnahofu nini?.
Huko korea mashahidi wa jehova wametishiwa kufungiwa makanisa yao kisa mashahidi hawataki vita.
Somalia hakuna kanisa full vita.Ina maana misikiti yenu ni magenge ya kupangia njama za utekaji?.
Yesu kristo alisema tutawajua walio wa Mungu kwa matendo yao.Yaani bwana yesu asifiwe wala salaam aleykum hazititishi bali matendo ya mtu.
Ndg zetu waislam hapo mmepwaya jitafakarini upya muijenge imani yenu kama mtume wenu alivyowauru.
Ikiwa leo mtume wenu akifufuka akute haya yanayofanywa na mnaojitia wafuasi wake kuuana,kubaka,kufilana,vita tele na mengineyo atazimia afe tena.
Makundi yote ya kigaidi ni ya kiislamu kuanzia isis,bokoharam,alkaida,alshabab,mungiki na ambayo sijayataja.Hakuna majeshi yanayoongoza kusali duniani kuzidi ya kiislamu somalia alshabab lakini matendo ni zero.
 
Huo si uislamu hao ni bokoharam. Uchukie uponde waita mashetani sema na ukashifu huo uislam vile mnavyopenda. Huo uislam upo na utaendelea kuwepo na wanaouharibu uislam kama bokoharam, isis, al qaeda na taliban wataendelea kuwepo. Kwa hiyo wewe abudu mungu wako kwa njia yako na uwaombee wanaochafua na kuharibu hii dunia.
Hawajitambui kwani chuki ndio zimejaa miyoni mwao
 
Ni muda muafaka wa waislamu duniani kote kujipambanua kujitofautisha kati ya uislamu na ugaidi,alshabab na uislamu,boko haramu na uislamu,ushirikina na uislamu.
Yawezekana wengine msielewe yaani makundi yote hapo juu yanafanya uharamia wote mchafu na hatuoni mataifa ya kiislamu yakipinga ujinga huo.
Leo hii ni nani mtakayempa injili yenu akawakubali?.
Simameni peupe mukatae na kuwapinga hawa magaidi.Leo nchi zote ambazo ni muslim majority amani hakuna angalia somalia,libya,misri,palestina,iran na kwingineko tabu tupu.
Hivi huyo Mungu mnayemwabudu yuko likizo?.
Dooh
 
Where is your research?
Huhitaji kuwa na uprofesa kuujua ukweli.Katika makundi yote duniani ya ugaidi hakuna kundi lililopo la mlengo wa kikristo kuanzia isis,bokoharamu,alshababu,alkaida na wengineo.
Na uthibitisho ktk hayo waliowateka watoto nigeria ni bokoharamu ambao wamewafunza imani zao za kiislamu na mavazi hayo.
Unataka nini ili uelewe.
 
Kwahiyo Qur'an aya ya 5 mstari wa 51, Allah anawaambia waislam wasifanye urafiki na wakristo na wayahudi,na muislam akiwa na urafiki na mkristo adhabu yake ni kuwa adui wa mungu wa kiislam yaani Allah.
Hii inafanya muislam mshika dini yule anamchukia mkristo bila sababu ya msingi na kumfanyia matendo ya kikatili kama ugaidi N.K
Daah,wajitokeze wapinge kama ulichosema hakipo.
 
Soma vizuri uislam na uuelewe,sio kuandika fikra za kimhemko

Mwenye mihemuko ni wewe. Nisome kiarabu, au nisome maisha yenu?

Unapashw akupinga kwa hoja. Lipi nimeliandika ambayo halina ukweli?

wasialma jifunzeni kuelewa kabla hamjaingia malumbano. Shida yenu mnabisha tu bila hioja. Na kihco ndihco kiwango chenu.
 
Nadhani sio mabinti tena ni wamama coz nasikia waliwazalisha therefore walikuwa wakisubiri wawalelee watoto ili wabaki nao kule maporini... Hawa maboko bana hawataki kizazi chao kipotee
 
Mwenye mihemuko ni wewe. Nisome kiarabu, au nisome maisha yenu?

Unapashw akupinga kwa hoja. Lipi nimeliandika ambayo halina ukweli?

wasialma jifunzeni kuelewa kabla hamjaingia malumbano. Shida yenu mnabisha tu bila hioja. Na kihco ndihco kiwango chenu.
Hongera kwa kuwa na fikra finyu. Yawezekana hata hiyo bible unayiiamini hauielewe. Hakuna haja ya kulumbana kwani kwa dalili ya uandishi uliyonayo ni vigumu kuelewa
 
Back
Top Bottom