Viagra na zaid 90% ya bodaboda wanapiga energy drink kwa wingi sasa wakipewa mzigo ufanisi unakuwa ni A kwa sababu ya kuboost ila final ni uzeeni NGOMA IKILALA NI MAZIMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
TBC watakuwa live😀😀
Duh hadi hao washika visuwanafuatia watu wa bucha..anakuambia nakupa nyama nzuri km ww..km hujielewi kwisha habari yako
![]()

ukimwi hauwez kuisha Kwani Manengelo hujui hapa duniani kilicho cha pekeyako ni kaburi tu?ahaa na vile TBc hawanaga kazi bas hili jukumu ni lao


Sisi bodaboda huwa huwa tunapewa penzi na wake za watu kutokana na sababu zifuatazo:
1.Huwa tunapewa penzi kama mbadala wa nauli
2.Wake za watu ambao huwa wana bifu na waume zao huwa wanatupa penzi la bure kama kulipiza kisasi kwa wanaume zao!![]()
3.Wake za watu wengi waume zao huwa wako busy na kazi kwa hiyo huwa hawatoshelezi wake zao na wake zao huwa wanaishia kutushobokea
4.Sababu nyingine ni urafiki na ukaribu mkubwa uliopo kati yetu sisi na wake za watu kutokana na kuwababe kila siku
5.Sisi bodaboda tupo sexy na tuna miili mizuri kuliko hao waume zao!![]()

fala sana wwUmeona hiyo mkuu...! Sio uzeeni tu,hawa wenzetu ngoma italala mazima wakifikisha tu 35+ ngoma itakuwa ngumu kuiinua hata kwa kubust. Niko jirani na duka la madawa hapa,ikifika jioni bodaboda zinapack kwa zamu hapo,ikabidi siku moja nikaulize ni vipi hawa madogo fulani karibia kila mara namuona hapa jioni? Muuzaji akaniambia ukiona hivyo ujue kuna lijimama anaenda kuliridhisha. Halafu mpaka muuzaji anawasikitikia. Kibaya zaidi wengi wale madogo walioishia darasa la saba,kwa hiyo hawana hata elimu dunia tu. Hawasomi vijarida vyovyote ili angalau humo anaweza kupata angalau cha kumuelimisha. Wenyewe wanajuijua dunia ya kwao wenyewe. Kama wamefunikwa kwenye mtungi fulani hivi. Ni hatari,inatishaViagra na zaid 90% ya bodaboda wanapiga energy drink kwa wingi sasa wakipewa mzigo ufanisi unakuwa ni A kwa sababu ya kuboost ila final ni uzeeni NGOMA IKILALA NI MAZIMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa tutaandamana kumpongeza na kuunga mkono juhudi.ahaa na vile TBc hawanaga kazi bas hili jukumu ni lao
Naona umeamua kunitag kabisa; sisi wengine wastaarabu mkuu.. Kuanzia mwezi ujao nitaanza kutangaza promo kwa jf
Ila akikutongoza mwenye mercedez benz sio mautumbo?mie ht sijawah mpa boda nafasi nisikilze mautumbo yake..khaa..ah msituonee bwana
.ndio..Ila akikutongoza mwenye mercedez benz sio mautumbo?
Hao wanawake na boda boda walozungumziwa humu hawapo? embu tupeni mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenye pesa mingi hawana mda wa kufatilia mademu,wenye kufatilia demu anaenda wapi ni wenzangu na mie "PANGU PAKAVU TIA MCHUZI" ,anaachwa awe free afanye atakavyo ila siku akiingia kwenye 18 hadi MSHUA akaona anamwagwa mazima,na mademu wakishaona MCHELE upo akili inakaa sawa,hao wanaosusiwa fasta fasta ni temporary tu sio all the time.USIKARIRI HIVYO!...wewe ukimnunulia simu mtu ukiombwa vocha huwa unalalamika sembuse mafuta? Wanawake hawapendi kupangiwa safari, aliyemnunulia Vogi akimuomba hela ya mafuta lazima atamuuliza unaenda wapi n.k Hawapendi kufuatiliwa
Aiseee nina imani mke wangu atakuwa anapenda kupata tabuNi hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejionea mambo mwenyewe mkuu...Daa leo napita barabara hivi, nakuta mke wa jirani yangu kasimama kwenye vimiti miti na bodaboda ninayemfahamu, kuniona bodaboda akajidai anaondoka, nilipopita kugeuka nakuta karudi na walivyosimama hatari na boxer imepaki pembeni. Ukweri ni hatari....