Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,206
Muuza nyama lazima awe mpnz wa nyama, nimejikuta ghafla tu natamani na mimi nifungue bucha.bora utie...watu wa buchan 99%malaya mbwa...sijui yapoje
Na uwatafune kweli kweli mkuu..sasa kama hawana akili kwanini wasitumike kwa matumizi yanayoendana na akili zao??Ngoja nipambane ninunue Toyo halafu nianze.Ila nitakuwa bodaboda msafiii mwili,mavaz,n.k
Sent using Jamii Forums mobile app


Toka kuanza kwa usafiri wa hizi pikipiki imekuwa na wimbi kubwa sana la wake za watu kutoka kimapenzi na hao bodaboda. Nauliza hivi ni hao wake wanaowataka hao bodaboda au imekaaje hiyo?. Muda mwingine najiuuliza labda ndoa nyingi hazijitoshelezi,hasa wanaume kutowatosheleza kisawa sawa wake zao kwenye swala zima la mgegedo? Au ni tabia tu wanawake kubadirisha viwanja? Maana muda mwingine mwanamke anayechukuliwa na huyo bodaboda utakuta kwake mambo safi sana kiuchumi. Na hawa vijana wa boda boda wengi nasikia wameingia kwenye kutumia viagra kubust nguvu zaidi ili amfikishe vi3,vi4 huyo mke wa mtu. Wasiwasi sasa itatokea kubwa watoto watoto wengi waliopo kwenye familia ni wa bodaboda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana kwenye hili la ukosefu wa elimu ya dini ambalo limepelekea kupolomoka kwa maadili.Umasikini, hali ngumu ya kimaisha na kuwa na tamaa, kutokuwa na elimu ya dini nayo huchangia mporomoko wa maadili kwa kasi kubwa sana.
Muuza nyama lazima awe mpnz wa nyama, nimejikuta ghafla tu natamani na mimi nifungue bucha.
Maendeleo hayana chama
Nakubaliana kwenye hili la ukosefu wa elimu ya dini ambalo limepelekea kupolomoka kwa maadili.
Ila kuhusu ukosefu wa kipato si kweli kwa sababu hao wake za watu wanaoshoboka na madereva wa bodaboda wengine waume zao wana kipato kizuri tu au hata wenyewe wana kazi zao nzuri tu.
USIKARIRI HIVYO!...wewe ukimnunulia simu mtu ukiombwa vocha huwa unalalamika sembuse mafuta? Wanawake hawapendi kupangiwa safari, aliyemnunulia Vogi akimuomba hela ya mafuta lazima atamuuliza unaenda wapi n.k Hawapendi kufuatiliwaMwanamke anaweza akawa na VOGI akampa papuchi mtu aliyemuwekea wese la buku 30 na kumsaliti aliyemnunulia VOGI wakati angemwambia huyo aliyemnunulia VOGI angeweza kumuwekea hata wese la laki.
kabisa mkuu af ikumbukwe pia hao boda boda ni wanaume pia kama wanaume wngne kuendesha kwao pkpk imefanya wadharaurike yan mtu akiskia mke wake anatmbea na boda boda anahis kadhalilishwa balaa ila akiskia ni dereva ata wa hiace au roli maumivu yanapungua kidg sio km kwa bodboda...tabu ipo pale paleUkimwi hautawaacha salama hao
kwanza muda wa kuongea nae km mimi sina shida huo muda haupo kbsmie ht sijawah mpa boda nafasi nisikilze mautumbo yake..khaa..ah msituonee bwana
usisahau kunukia vizur mkuuNgoja nipambane ninunue Toyo halafu nianze.Ila nitakuwa bodaboda msafiii mwili,mavaz,n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza muda wa kuongea nae km mimi sina shida huo muda haupo kbs
mie ht sijawah mpa boda nafasi nisikilze mautumbo yake..khaa..ah msituonee bwana
Kama unamaanisha haya unayoyasema basi heshima nyingi sana kwako!