Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

Asante kwa kujali rafiki. Nilikumiss though. Mgao huo nitaufungia safari kuufuata bila kujali nitaumia nauli kiasi gani kutoka huku niliko, lengo tu kuifuata NYAMA robo

๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ inaonekana una undugu na mafisi ww๐Ÿ˜ท
 
Mkimaliza kujadili bodaboda, tuhamie kwa deleva tax tukimaliza twende kwenye bajaji tukimaliza twende kwa wachoma chips then tumalizie kwa hawa waosha kucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYIE WANAWAKE ACHENI HIZO MNAJIRAHISISHA SANA KWA BODABODA MTAACHWA KUTAFUNWA? KAMA UNAJIHESHIMU NA NDOA YAKO KUTAFUNWA HAIWEZEKANI
 
Back
Top Bottom