Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Mnawarahisishia sana kazi ndiyo maana mmewafanya wawe wepesi kutongoza maana anachukulia huyu ni kama wale sio kosa lao nilikuwa nafanya kazi karibu na watu wa bodaboda mpaka muda mwingine wanawakimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila ulizo la swali lolote Chifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee, kweli kurukaruka kwa maharagwe ndiko kuiva kwake, nilitaka nishangae unaanzaje kunikataa dereva bodaboda tena niliye handsome namna hii?

Tukutane pale "THE PARADISE BUCHA" ili nikupe ofa kede kede za nyama afu univulie c.h.u.p.i nikufaidi mtoto mzuri Manengelo
next yr naacha...ngoja ipite new yr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom