Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

Kuna bucha nikienda nunua maini robo napewa maini utafikiri maini ya sisimizi lakini kuna dem nikimtuma akaninunulie maini robo anakuja nayo kama nusu hivi bucha hyohyo muuzaji yuleyule mzani uleule
 
Kuna bucha nikienda nunua maini robo napewa maini utafikiri maini ya sisimizi lakini kuna dem nikimtuma akaninunulie maini robo anakuja nayo kama nusu hivi bucha hyohyo muuzaji yuleyule mzani uleule


😂😂😂😂..umeona eh..mie mume wangu analetaga manyama mabayaaa bucha ile ile.. 😂😂nikienda mm naongezewa robo nzima ati ya kuchoma..ss inategemea lakini na aina ya mwanamke...
 
😂😂😂😂..umeona eh..mie mume wangu analetaga manyama mabayaaa bucha ile ile.. 😂😂nikienda mm naongezewa robo nzima ati ya kuchoma..ss inategemea lakini na aina ya mwanamke...
Hapo penye inategemea na aina ya mwanamke, anayeongezwa robo nzima ya kuchoma anakuwaje?
 
kwamba umeniongezea kanyama kakichoma nxt week nikija unanipa tena au unaanz kunitongoza...hapa inTegemea n mwanamke ndio...ukimchekea bsi ushaisha
Ufafanuzi huo umeshiba pilau la mwaka mpya.
Natumia fursa hii pia kukutakia heri ya Mwaka Mpya. Usinisahau mgao wa nyama-robo ya nyongeza
 
Wakuu Bodaboda yani waacheni tu, Jamaa wanavowatafuna wanawake simasihara kabisa. Ninavoamini asilimia 75 ya wanawake Dar wanaopanda bodaboda basi washagegedwa na wengine wanaendelea kugegedwa. Nashindwa kuamini kabisa muda mwengine unamkuta Demu wa mana kabisa anagegedwa na bodaboda. Mbaya zaidi Bodaboda wanaongoza kwa magonjwa HIV, gono na mengineyo katika magonjwa ya zinaa.

Binafsi hufika muda na mimi nikatamani hata kuwa bodaboda, Nawaonea wivu aisee.
 
Back
Top Bottom