Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

mimi nashukuru sana mwisho wa siku huwa wanaongea kilicho moyoni mwangu...
au dada kwajili unaona siò hadhi yako akisema hivyo najua kesi imeisha..hao hao watongoze watoto wetu wa shule hao hao watutake mama zao..shwain
watongoze watoto wetu na nyie. Heshima kwako sanaaaa. Kujitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka kuanza kwa usafiri wa hizi pikipiki imekuwa na wimbi kubwa sana la wake za watu kutoka kimapenzi na hao bodaboda. Nauliza hivi ni hao wake wanaowataka hao bodaboda au imekaaje hiyo?. Muda mwingine najiuuliza labda ndoa nyingi hazijitoshelezi,hasa wanaume kutowatosheleza kisawa sawa wake zao kwenye swala zima la mgegedo? Au ni tabia tu wanawake kubadirisha viwanja? Maana muda mwingine mwanamke anayechukuliwa na huyo bodaboda utakuta kwake mambo safi sana kiuchumi. Na hawa vijana wa boda boda wengi nasikia wameingia kwenye kutumia viagra kubust nguvu zaidi ili amfikishe vi3,vi4 huyo mke wa mtu. Wasiwasi sasa itatokea kubwa watoto watoto wengi waliopo kwenye familia ni wa bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app

Binafsi nikishaona tu Mwanamke wangu ameanza Kuzoeana na Madereva wa BodaBoda basi hapo hapo ndiyo mwisho Wetu Kimahusiano na mpaka sasa nimeshawamwaga / nimeshaachana na Wanawake kama 17 hivi kwa Kosa hili hili na hata huyu ambaye atakuja Saa 12 Jioni ya leo ' Kuuchezea ' nae akija tu na BodaBoda yatamkuta ya Wenzie. Na sipingi Wanawake Kutembea / Kungonoliwa na hao Madereva wa BodaBoda ila ukweli ni kwamba kama kuna Kundi la Wanaume wanaoongoza kwa Kuumwa Magonjwa ya Zinaa ya Kisonono na Kaswende ni Madereva BodaBoda na sasa nayaonea mno huruma Matako / Makalio yangu haya kwa kila Siku Kuchomwa Sindano kwani Vidonge huwa havinisaidii kabisa.
 
Binafsi nikishaona tu Mwanamke wangu ameanza Kuzoeana na Madereva wa BodaBoda basi hapo hapo ndiyo mwisho Wetu Kimahusiano na mpaka sasa nimeshawamwaga / nimeshaachana na Wanawake kama 17 hivi kwa Kosa hili hili na hata huyu ambaye atakuja Saa 12 Jioni ya leo ' Kuuchezea ' nae akija tu na BodaBoda yatamkuta ya Wenzie. Na sipingi Wanawake Kutembea / Kungonoliwa na hao Madereva wa BodaBoda ila ukweli ni kwamba kama kuna Kundi la Wanaume wanaoongoza kwa Kuumwa Magonjwa ya Zinaa ya Kisonono na Kaswende ni Madereva BodaBoda na sasa nayaonea mno huruma Matako / Makalio yangu haya kwa kila Siku Kuchomwa Sindano kwani Vidonge huwa havinisaidii kabisa.
acha masiharah mkuu. Hapo kwenye 17. Utatema wengi kwa namna hiyo kiongozi. Huyu wa leo akifika tu kituo cha kwanza mvutie mkoko mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie sehemu yenu mkuu kufikiria kumdokoa yule unaempeleka sokoni siku zote mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi bodaboda huwa huwa tunapewa penzi na wake za watu kutokana na sababu zifuatazo:
1.Huwa tunapewa penzi kama mbadala wa nauli
2.Wake za watu ambao huwa wana bifu na waume zao huwa wanatupa penzi la bure kama kulipiza kisasi kwa wanaume zao!
3.Wake za watu wengi waume zao huwa wako busy na kazi kwa hiyo huwa hawatoshelezi wake zao na wake zao huwa wanaishia kutushobokea
4.Sababu nyingine ni urafiki na ukaribu mkubwa uliopo kati yetu sisi na wake za watu kutokana na kuwababe kila siku
5.Sisi bodaboda tupo sexy na tuna miili mizuri kuliko hao waume zao!
 
Toka kuanza kwa usafiri wa hizi pikipiki imekuwa na wimbi kubwa sana la wake za watu kutoka kimapenzi na hao bodaboda. Nauliza hivi ni hao wake wanaowataka hao bodaboda au imekaaje hiyo?. Muda mwingine najiuuliza labda ndoa nyingi hazijitoshelezi,hasa wanaume kutowatosheleza kisawa sawa wake zao kwenye swala zima la mgegedo? Au ni tabia tu wanawake kubadirisha viwanja? Maana muda mwingine mwanamke anayechukuliwa na huyo bodaboda utakuta kwake mambo safi sana kiuchumi. Na hawa vijana wa boda boda wengi nasikia wameingia kwenye kutumia viagra kubust nguvu zaidi ili amfikishe vi3,vi4 huyo mke wa mtu. Wasiwasi sasa itatokea kubwa watoto watoto wengi waliopo kwenye familia ni wa bodaboda

Sent using Jamii Forums mobile app
kubadirisha = kubadilisha
 
Back
Top Bottom