Bodaboda na wake za watu

Bodaboda na wake za watu

mimi nashukuru sana mwisho wa siku huwa wanaongea kilicho moyoni mwangu...
au dada kwajili unaona siò hadhi yako akisema hivyo najua kesi imeisha..hao hao watongoze watoto wetu wa shule hao hao watutake mama zao..shwain
Nipe mwanao wa shule mkuu
Na mimi ni Boda Boda nipo chini ya miguu yako
 
Sisi bodaboda huwa huwa tunapewa penzi na wake za watu kutokana na sababu zifuatazo:
1.Huwa tunapewa penzi kama mbadala wa nauli
2.Wake za watu ambao huwa wana bifu na waume zao huwa wanatupa penzi la bure kama kulipiza kisasi kwa wanaume zao!
3.Wake za watu wengi waume zao huwa wako busy na kazi kwa hiyo huwa hawatoshelezi wake zao na wake zao huwa wanaishia kutushobokea
4.Sababu nyingine ni urafiki na ukaribu mkubwa uliopo kati yetu sisi na wake za watu kutokana na kuwababe kila siku
5.Sisi bodaboda tupo sexy na tuna miili mizuri kuliko hao waume zao!
UMEUA MDAU HAHAHAH
 
pole...alikufanyaje mkuu...ila si utafte totoz 1 bas..huon unajichosha
Siwezi kutumia totoz moja mkuu,,zimekuwa siku za nyuma kidogo nilihisi anachukuliwa na house boy wangu ,,hivi ninavyokwambia sidhani kama huyo dogo hupo hapa tanzania,kama yupo basi hawezi kunisahau hadi anaingia kaburini..He known me who the f**k i am mbele ya tamu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nashangaa jirani yangu next side ya house ( siko close nae ,ni salamu tu.) mumewe huwa mtu WA kusafiri Sana. Cha ajabu Yule Dereva WA bodaboda huwa anawahi Sana kabla Yule dada hajajiandaa kuvaa etc asubuhi ,so inambidi bodaboda aingei ndani kumwait Mara kibao Sana.. So I don't know Kama kuna kamchezo huwa kanaendelea na huwa wanakaa muda ndio wanatoka.. Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nashangaa jirani yangu next side ya house ( siko close nae ,ni salamu tu.) mumewe huwa mtu WA kusafiri Sana. Cha ajabu Yule Dereva WA bodaboda huwa anawahi Sana kabla Yule dada hajajiandaa kuvaa etc asubuhi ,so inambidi bodaboda aingei ndani kumwait Mara kibao Sana.. So I don't know Kama kuna kamchezo huwa kanaendelea na huwa wanakaa muda ndio wanatoka.. Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!!!...Mgodi lazma huwa unaingiliwa na manyani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nashangaa jirani yangu next side ya house ( siko close nae ,ni salamu tu.) mumewe huwa mtu WA kusafiri Sana. Cha ajabu Yule Dereva WA bodaboda huwa anawahi Sana kabla Yule dada hajajiandaa kuvaa etc asubuhi ,so inambidi bodaboda aingei ndani kumwait Mara kibao Sana.. So I don't know Kama kuna kamchezo huwa kanaendelea na huwa wanakaa muda ndio wanatoka.. Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ujue tayari jamaa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kutumia totoz moja mkuu,,zimekuwa siku za nyuma kidogo nilihisi anachukuliwa na house boy wangu ,,hivi ninavyokwambia sidhani kama huyo dogo hupo hapa tanzania,kama yupo basi hawezi kunisahau hadi anaingia kaburini..He known me who the f**k i am mbele ya tamu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
....! Duuuh...! Ulimfanyeje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kutumia totoz moja mkuu,,zimekuwa siku za nyuma kidogo nilihisi anachukuliwa na house boy wangu ,,hivi ninavyokwambia sidhani kama huyo dogo hupo hapa tanzania,kama yupo basi hawezi kunisahau hadi anaingia kaburini..He known me who the f**k i am mbele ya tamu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😂😂tumewasahau na mahouseboy aisee hao nao ni wabaya kweli kweli...yaan ila dah... naogopa ht kujua ulimfanyaje..khaa mamaa alishindwa jikaza😷..ukute alikua ana misuli kukuzidi😷..anamwona kila siku anavyosweat na kazi za hom ila mumewe anarudi ht hajasweat😂😂...jamaa kifua kimetanukaa..✌✌...kitandani sasa ukute jmaa ni 👐🙌🙌🙌🔥🔥🔥.ananyanyua mashudu ya ng'ombe kama debe 1 ..tu..lol..shetan msumbufu sana..pole sana mkuu...naamini mkeo bado anamkumbuka🌐🌐🌐..akili za dompo hizi mkuu nataniaaa
 
Mkuu,shoo nasimamia sana tu najitahidi,ila nikikwambia hawa viumbe ni dhaifu sana mkuu,yani nayeye siyo mama wa nyumbani kabisa,mimi ni mjasilia mali kwahiyo huwa nafanya nae kazi zangu all the time ofisini,mwenzio alikuwa akiona inaelekea jioni kama nimetoka kidogo anapiga simu kwa houseboy amwijie,hawafiki nyumbani moja kwa moja wanapakipaki njiani sijui kulana mate,nazisikia tu habar 'tumeona gari lako limepaki mitaa hii tatzo nini?imagine wife ni 28 na do ni 23''nikafatilia kumbe sijui ndo mazoea yamekolea,sijui dogo amekula mzgo muda,,,I did'nt Waste my time kuulizia sana kwa wife au huyo dogo asie na bahati,,nilimfanyia mbaya mpaka huwa natetemeka mwenyewe..vijana niwasihi tu kwamba wake za watu muwe nao makini japo kweli ni watamu..
tumewasahau na mahouseboy aisee hao nao ni wabaya kweli kweli...yaan ila dah... naogopa ht kujua ulimfanyaje..khaa mamaa alishindwa jikaza..ukute alikua ana misuli kukuzidi..anamwona kila siku anavyosweat na kazi za hom ila mumewe anarudi ht hajasweat...jamaa kifua kimetanukaa.....kitandani sasa ukute jmaa ni .ananyanyua mashudu ya ng'ombe kama debe 1 ..tu..lol..shetan msumbufu sana..pole sana mkuu...naamini mkeo bado anamkumbuka..akili za dompo hizi mkuu nataniaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumewasahau na mahouseboy aisee hao nao ni wabaya kweli kweli...yaan ila dah... naogopa ht kujua ulimfanyaje..khaa mamaa alishindwa jikaza..ukute alikua ana misuli kukuzidi..anamwona kila siku anavyosweat na kazi za hom ila mumewe anarudi ht hajasweat...jamaa kifua kimetanukaa.....kitandani sasa ukute jmaa ni .ananyanyua mashudu ya ng'ombe kama debe 1 ..tu..lol..shetan msumbufu sana..pole sana mkuu...naamini mkeo bado anamkumbuka..akili za dompo hizi mkuu nataniaaa
....! Utamponza Hg wewe mane. Jamaa anaweza akafikiria labda adhabu aliyompa ilikuwa cha mtoto,anaweza akamsaka tena. Ila ma-Hg wengi ilikuwa zamani. Siku hizi bodaboda ndio kisingizio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,shoo nasimamia sana tu najitahidi,ila nikikwambia hawa viumbe ni dhaifu sana mkuu,yani nayeye siyo mama wa nyumbani kabisa,mimi ni mjasilia mali kwahiyo huwa nafanya nae kazi zangu all the time ofisini,mwenzio alikuwa akiona inaelekea jioni kama nimetoka kidogo anapiga simu kwa houseboy amwijie,hawafiki nyumbani moja kwa moja wanapakipaki njiani sijui kulana mate,nazisikia tu habar 'tumeona gari lako limepaki mitaa hii tatzo nini?imagine wife ni 28 na do ni 23''nikafatilia kumbe sijui ndo mazoea yamekolea,sijui dogo amekula mzgo muda,,,I did'nt Waste my time kuulizia sana kwa wife au huyo dogo asie na bahati,,nilimfanyia mbaya mpaka huwa natetemeka mwenyewe..vijana niwasihi tu kwamba wake za watu muwe nao makini japo kweli ni watamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Na sex ya kwenye gari hua inanoga jaman🔥🔥🔥 natania tu mkuu...pole sana
 
Back
Top Bottom