kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,807
Hehehewanafuatia watu wa bucha..anakuambia nakupa nyama nzuri km ww..km hujielewi kwisha habari yako
![]()




Hehehe
Sasa kuanzia leo natia team Buchan mwenyewe..
Coz nikiifikiria nyama ya mama Koku.. Ampe muuza Bucha...![]()
Hivi nao wamo sana eeh? Duuuh...! Naona sister wametokea kukukwaza sana. Achana na mtindo wa kula nyama,tena ya ng'ombe,haijawahi kuwa na faida mwilini zaidi ya hasara. Hapo utakuwa umekwepa vitu hivyooo....! Vi2bora utie...watu wa buchan 99%malaya mbwa...sijui yapoje
Hivi nao wamo sana eeh? Duuuh...! Naona sister wametokea kukukwaza sana. Achana na mtindo wa kula nyama,tena ya ng'ombe,haijawahi kuwa na faida mwilini zaidi ya hasara. Hapo utakuwa umekwepa vitu hivyooo....! Vi2
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe makini mkuu maana wana mapanga wale njemba,wenyewe damu ni kama ku..mbu..suHehehe
Sasa kuanzia leo natia team Buchan mwenyewe..
Coz nikiifikiria nyama ya mama Koku.. Ampe muuza Bucha...![]()
True aisee, Ila nao hawa madogo wa bodaboda wajijue wanachukua virus vyetu vikali ambavyo vitawatafuna mapema sanaUkimwi unaingia kwenye familia bila hodi
Hao miaka ya nyuma huko moshi ndo zilikuwa zao. Unakuta mke wa kibosile analazwa na muuza buchawanafuatia watu wa bucha😂..anakuambia nakupa nyama nzuri km ww..km hujielewi kwisha habari yako😏
Hao miaka ya nyuma huko moshi ndo zilikuwa zao. Unakuta mke wa kibosile analazwa na muuza bucha
Wengi miaka hiyo (naomba nisiitaje) walitaka upendeleo wa nyama nzuri. Usisahau hapo karibu na CCP kulikuwa na uhaba wa nyama. Hii kitu ya kutoa utamu ili upate kitu wengi wanayo na wanadai si utanawa tu enzi hizo kabla ya ukimwiduh...ila sidhan km alikua analala naye kisa anapewa nyama..hao hiendawalitokea kuclick tu mapenzi yakamea..maana mapenz hayana adabu kbs..ila mm siwez na haiji tokea
Wengi miaka hiyo (naomba nisiitaje) walitaka upendeleo wa nyama nzuri. Usisahau hapo karibu na CCP kulikuwa na uhaba wa nyama. Hii kitu ya kutoa utamu ili upate kitu wengi wanayo na wanadai si utanawa tu enzi hizo kabla ya ukimwi
Imagine ni Mchepuko wako au maza hausi anakunjwa na bodaboda hapo kisonono na other std mtazikosa? Ukimwi je?hapana ipo had leo 31st 12..ipo bado mkuu ila.sidhan km ni kwa nyama...ipo tu
Imagine ni Mchepuko wako au maza hausi anakunjwa na bodaboda hapo kisonono na other std mtazikosa? Ukimwi je?
Kwa hiyo cycle !, ni jamiii nzima ipo mashakani si boda boda pekee.Ukimwi hautawaacha salama hao
Nikweli, nadhani wanahitaji elimu sasaKwa hiyo cycle !, ni jamiii nzima ipo mashakani si boda boda pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
USIKARIRI HIVYO!...wewe ukimnunulia simu mtu ukiombwa vocha huwa unalalamika sembuse mafuta? Wanawake hawapendi kupangiwa safari, aliyemnunulia Vogi akimuomba hela ya mafuta lazima atamuuliza unaenda wapi n.k Hawapendi kufuatiliwaMwanamke anaweza akawa na VOGI akampa papuchi mtu aliyemuwekea wese la buku 30 na kumsaliti aliyemnunulia VOGI wakati angemwambia huyo aliyemnunulia VOGI angeweza kumuwekea hata wese la laki.
Wewe uliwahi kukiri humu kwamba uliwahi kuchepuka, tunajiuliza alikua boda boda pia?Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Wewe uliwahi kukiri humu kwamba uliwahi kuchepuka, tunajiuliza alikua boda boda pia?
Heshimu ndoa dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajikuta analiwa kwa nyongeza ya nyama kidogo kama pua ya msomaliwanafuatia watu wa bucha..anakuambia nakupa nyama nzuri km ww..km hujielewi kwisha habari yako
![]()