Eti kunywa biaHalaf eti mimi nichomwe moto jehanam kwa kosa ganioo?
Halafu anakwambia eti haikuwa kazi rahisi,na kweli mtu mwenye akili timamu si rahisi kufanya huo ujingaNimejikuta nataka kulia... Nimeumia sana.... Kama una mtoto wa kiume unaweza kuyatambua maumivu yangu
AmenSeriously inauma... Inaumiza hasa I have boys... Nawaombea sana kwa Mungu kikombe hiki kiwaepuke....!!!
sijajua mtoa maada unataka kutuambia nini?!Jina lake la kuzaliwa ni Okuneye Idris mzaliwa wa Lagos Nigeria
Lakini jina lake maarufu mitandaoni ni "Bobrisky" huyu ndo malkia maarufu sana huko snapchat na pia instagram anayetrend sana
Huyu ni mwanaume lakini ukimtazama ameamua kujibadilisha na kuwa kama mwanamke
Huyu ndo shoga tajiri zaidi africa akimiliki magari ya ghali zaidi majumba ya kifahari na biashara za vipodozi,mawigi na kope
Aliwahi kusema kuwa yeye anatoka na tajiri maarufu zaidi Africa lakini siku zote amekua akijiepusha kumuanika mpenzi wake hadharani
Pia inadaiwa mama yake mwanzo alikua akipinga hatua hiyo ya mwanae lakini hivi sasa amekua akimsapoti kila hatua ya mwanae
Huyo ndo bobrisky shoga tajiri zaidi Africa View attachment 1214831View attachment 1214832View attachment 1214833View attachment 1214834View attachment 1214835View attachment 1214836View attachment 1214837View attachment 1214839View attachment 1214843
Unachekesha wewe, manyonyo wanapandikiza tu kama makalioKama ni mwanaume hayo maziwa na kifua mbele katoa wapi
Aisee, huyo ni mwanamke kabisa, hakuna kidume wa hivo, tupia picha akiwa kavaa kiume tuone
Kama ni mwanaume hayo maziwa na kifua mbele katoa wapi
Aisee, huyo ni mwanamke kabisa, hakuna kidume wa hivo, tupia picha akiwa kavaa kiume tuone
Si uweke hizo picha hapa?Kafanya upasuaji brother , na uwa anavaa machuchu ya bandia ingia instagram au google cheki ilo jina tafuta picha zake za zaman utaziona