Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 308
- 282
Kaimu Msajili (Abeli Odena) naye ni ndg yake John Bayo. Je haki ya kumchukulia hatua Bayo itatendeka? Wote wenye mamlaka ya kimaamuzi ni ndg zake akiwemo Kaimu Msajili wa Vyama vya Michezo na Kaimu Katibu Mkuu wa BMT Bi Neema Msitha.
Wote hao wanafuata maelekezo ya ndg yao (Filbert Bayi) wanaemheshimu kuliko Waziri mwenye dhamana ya Michezo ambaye ana mamlaka ya kutengua teuzi zao.
Wote hao wanafuata maelekezo ya ndg yao (Filbert Bayi) wanaemheshimu kuliko Waziri mwenye dhamana ya Michezo ambaye ana mamlaka ya kutengua teuzi zao.