bmt

The Brooklyn–Manhattan Transit Corporation (BMT) was an urban transit holding company, based in Brooklyn, New York City, United States, and incorporated in 1923. The system was sold to the city in 1940. Today, together with the IND subway system, it forms the B Division of the modern New York City Subway. The original BMT routes currently form the J/Z, L, M, N, Q, R and W trains, as well as the Franklin Avenue Shuttle, with the IND B, D, and F using BMT trackage in Brooklyn. The M train enters the IND via the Chrystie Street Connection after crossing the Williamsburg Bridge, the Q, along with some rush-hour N trains enter the IND from the BMT 63rd Street Line and the R train enters the IND via the 60th Street Tunnel Connection. The Z train supplements the J in the peak direction during rush hours only.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    BMT yasimamisha Uchaguzi wa TEFA

    Mimi ni Mwanasoka , lakini Tangu niingie kwenye Mchezo huu sijawahi kuona ushirikina na uchawi kama unaofanyika kwenye Uchaguzi wa Chama cha soka cha Temeke. Hivi ni nani anainjinia Mambo haya? Hivi uchawi huu unaofanyika utalipwa na nini , kwanini Temeke inatia aibu namna hii wakati haina...
  2. GENTAMYCINE

    Yafuatayo ni majibu Mujarab ( Sahihi ) ya Ali Mayai wa BMT kwa wanaohusisha Rangi za Mkapa Stadium na Ushoga ( LGBTQ )

    "Walioliibua hili ( GENTAMYCINE nawataja kuwa ni wana Yanga SC ) wana Uelewa mdogo mno wa Mambo. Rangi zote zilizopo zinawakilisha Uafrika Wetu pamoja na Rasilimali zinazopatikana na ukiangalia Kiumakini katika Rangi hizi utaona nyingi ziko hata katika Bendera yetu ya Tanzania ambao tumepewa...
  3. Melubo Letema

    Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), John Bayo aiponda Katiba ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT)

    WAKATI sakata la sifa za kielimu la Makamu wa Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), John Bayo likizidi kuchukua hatua tofauti, shirikisho limedai linatarajia kufanya mabadiliko ya katiba yake. RT ilifanya uchaguzi wake mapema mwaka huu, baada ya kufanyika kwa mabadiliko ya katiba, ambapo...
  4. Melubo Letema

    BMT, Msajili wa Vyama vya Michezo Wamkingia Kifua John Bayo

    Kaimu Msajili (Abeli Odena) naye ni ndg yake John Bayo. Je haki ya kumchukulia hatua Bayo itatendeka? Wote wenye mamlaka ya kimaamuzi ni ndg zake akiwemo Kaimu Msajili wa Vyama vya Michezo na Kaimu Katibu Mkuu wa BMT Bi Neema Msitha. Wote hao wanafuata maelekezo ya ndg yao (Filbert Bayi)...
  5. Melubo Letema

    Sakata la Makamu wa Rais Riadha Tanzania John Bayo kuhusu Vyeti, BMT wakosa majibu

    Olympic Games ni mchezo unaotazamwa na kufuatiliwa na watu wengi zaidi duniani (zaidi ya bilioni 4), wenye mamlaka na madaraka ya kimichezo wanapokataa kutoa majibu marahisi wasitegemee medali za Tokyo Olympics. Huu ni mwaka muhimu wa Olimpiki, BMT na Wizara ya Michezo wanapaswa kutatua kero...
  6. SankaraBoukaka

    TFF na BMT mpo serious kweli? Hivi Kagere na Morrison wanaliuaje Soka letu?

    Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu. Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa vipaji tulivyonavyo. Kama tukiweza kusimamia hilo hata hao wa nje hakuna atakaosumbuka nao. Cha muhimu...
Back
Top Bottom