Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

ok mkuu..mimi sijawahi ku-boost huwa na share kawaida kwenye page na groups...kuna baadhi walio boost wakadai account zinafungwa adsense wana-assume kama unanunua traffic , kama imekupa matokeo chanya endelea..
Samahani Mkuu hivi ni Payment Method ipi rahisi na nzuri kutumia katika google adsense??.
 
usiboosr utafungiwa.....share kwa njia ya kawaida
Ebu funguka vizuri kuna dollar mia nataka kuzialibu facebook kwenye page yangu kwa ku boost post za tovuti yangu yenye adsense. Pia nataka ku promote website url to get more click in USA + Canada.
Ebu funga kwa details zaidi kama utajali.
 
Ebu funguka vizuri kuna dollar mia nataka kuzialibu facebook kwenye page yangu kwa ku boost post za tovuti yangu yenye adsense. Pia nataka ku promote website url to get more click in USA + Canada.
Ebu funga kwa details zaidi kama utajali.
ukiboost google watakuja kuikagua website yako, Sasa kama ikiwa umekiuka sheria zao kama copy and pasting, kutumia picha zenye copyright, spinning articles, etc hapo ndipo utafungiwa, Kuboost sio tatizo ila je unajiamini vya kutosha website yako ikikaguliwa utakuwa umefata kila sheria ya google asense?
 
ukiboost google watakuja kuikagua website yako, Sasa kama ikiwa umekiuka sheria zao kama copy and pasting, kutumia picha zenye copyright, spinning articles, etc hapo ndipo utafungiwa, Kuboost sio tatizo ila je unajiamini vya kutosha website yako ikikaguliwa utakuwa umefata kila sheria ya google asense?
Yah! coz picha zenye copyright uwa natoa credit, other na modify via adobe photoshop.
 
Yah! coz picha zenye copyright uwa natoa credit, other na modify via adobe photoshop.
Credits hazitambuliki kama huna ushahidi kwamba mwenye hizo picha kakukpa kibali cha kutumia picha zake na kumpa credit????😉😉, Hapo unachapwa fimbo ya "content curation "....Just be on the safe side..Usiboost post zako f.b unless unajiamini hata ukikaguliwa manually una uhakika kwamba kila sheria ya adsense umeifata.
 
Yah! coz picha zenye copyright uwa natoa credit, other na modify via adobe photoshop.
HAHA you have to pay credits in form of U.S dollars($) to the articles/photos owners,modification of those copyrighted photos/articles is better than nonsense>>>WORDS CREDITS..... Lol 😱😱😵😵
 
ok nimekuonea huruma. trick ni hii. fanya Self Clicking. kama unatumia ADMOB uliyoiunganisha na app yako basi ingia playstore kisha download app ya turbo VPN kisha connect server ya Canada au USA. rudi kwenye browser zako zote za simu kisha clear cache, data and everything. rudi kwenye app yako kwenye setting clear cache, data and everything. nenda kwenye setting ya simu yako ingia kwenye option ya google kisha reset Advertising ID. kisha clear cach na data. rudi kwenye app yako bofya tangazo kisha ukiwaredirected kwenye tangazo hakikisha ubofye hata menu ya website utakayoikuta na uzuge zuge kama sekunde 30 kwa kupreview other pages kisha close browser zima data clear cache, data and everthing rudi kwenye app clear tena, rudi kwenye setting google option clear tena rudi kwenye turbo VPN clear cache and data. zima data tulia 5 seconds kisha rudi kwenye turbo boost connect server nyingine kisha rudia hatua ya kwanza kuclear cache tena na kuanza kujibofya. it works na ukifanya kwa mara 10 utaona mitonyo kwenye adsense. na hakikisha data zako za adsense unatumia kwenye kifaa kingine sio kifaa hiko hiko.

mi mwanzo nilijifunza kupitia video hii ya youtube. hawa wahindi wako vizuri sana. now najipigia pesa bureee kwa kujibofya.



usipoielewa hiyo angalia videos nyingine how to self click on admob - YouTube

[HASHTAG]#ONYO[/HASHTAG] USIKOSEE MASHARTI. PIA USIFANYE TRICK HII KWENYE ANDROID EMULATORS KAMA BLUESTACK AU NOX PLAYER AU COMPUTER KWA UJUMLA. Kule ni rahisi sana data zako kuleak kwa adsense. PIA FANYA KWA MAKINI SANA, UKIKOSEA KIDOGO TU! ACCOUNT YAKO WAKIIBAN USIJE HAPA KUNILAUMU.

Una moyo wa dhahabu mkuu, mwaka 2018 uwe ni wenye mafanikio kwako kwa uwezo wa Mungu
 
western union kama unapata chini ya dollar 2000$, kama unapata madollars mengi kuanzia madollar 2000$++ tumia bank
Mkuu kat ya western union na wire transfer ipi ni bora ... Maana natumia crdb wire transfer earnings zangu hazijazidi 300$ naona wanakata pakubwa
 
Mkuu kat ya western union na wire transfer ipi ni bora ... Maana natumia crdb wire transfer earnings zangu hazijazidi 300$ naona wanakata pakubwa
western union ni free kabisa hawakati kitu na pesa unachukua siku hiyo hiyo.. bank unasubiri sometimes mpaka siku tano kusubiri bank wai-process...
 
Kama una digrii ya IT nadhani you can do something better than BLOGGER,,
MUDA UNAO WA KUTOSHA JARIBU ATA ANDROID APP DEVELOPMENT ITAKUTOA... FANYA UWE NA FAN UTAKAYORINGA NAYO LAKINI KAMA UMEKAZANA NA BLOGGING TU BASI ELIMU YAKO UNAPOTEZA BURE
 
Credits hazitambuliki kama huna ushahidi kwamba mwenye hizo picha kakukpa kibali cha kutumia picha zake na kumpa credit????😉😉, Hapo unachapwa fimbo ya "content curation "....Just be on the safe side..Usiboost post zako f.b unless unajiamini hata ukikaguliwa manually una uhakika kwamba kila sheria ya adsense umeifata.
Poa. sema nimefanya follow up, google adsense wanakukata mapato utakayo yapata kutokana na post uliyo iboost, wanakuibia invalid click due to promotion.
 
Poa. sema nimefanya follow up, google adsense wanakukata mapato utakayo yapata kutokana na post uliyo iboost, wanakuibia invalid click due to promotion.
poa kaboost mkuu utuletee mrejesho
 
ok nimekuonea huruma. trick ni hii. fanya Self Clicking. kama unatumia ADMOB uliyoiunganisha na app yako basi ingia playstore kisha download app ya turbo VPN kisha connect server ya Canada au USA. rudi kwenye browser zako zote za simu kisha clear cache, data and everything. rudi kwenye app yako kwenye setting clear cache, data and everything. nenda kwenye setting ya simu yako ingia kwenye option ya google kisha reset Advertising ID. kisha clear cach na data. rudi kwenye app yako bofya tangazo kisha ukiwaredirected kwenye tangazo hakikisha ubofye hata menu ya website utakayoikuta na uzuge zuge kama sekunde 30 kwa kupreview other pages kisha close browser zima data clear cache, data and everthing rudi kwenye app clear tena, rudi kwenye setting google option clear tena rudi kwenye turbo VPN clear cache and data. zima data tulia 5 seconds kisha rudi kwenye turbo boost connect server nyingine kisha rudia hatua ya kwanza kuclear cache tena na kuanza kujibofya. it works na ukifanya kwa mara 10 utaona mitonyo kwenye adsense. na hakikisha data zako za adsense unatumia kwenye kifaa kingine sio kifaa hiko hiko.

mi mwanzo nilijifunza kupitia video hii ya youtube. hawa wahindi wako vizuri sana. now najipigia pesa bureee kwa kujibofya.



usipoielewa hiyo angalia videos nyingine how to self click on admob - YouTube

[HASHTAG]#ONYO[/HASHTAG] USIKOSEE MASHARTI. PIA USIFANYE TRICK HII KWENYE ANDROID EMULATORS KAMA BLUESTACK AU NOX PLAYER AU COMPUTER KWA UJUMLA. Kule ni rahisi sana data zako kuleak kwa adsense. PIA FANYA KWA MAKINI SANA, UKIKOSEA KIDOGO TU! ACCOUNT YAKO WAKIIBAN USIJE HAPA KUNILAUMU.

Mhhh hii trick ni noma saana aisee Click 6 dolla $2 mhhh nimeiogopa mapema nisije nikawa suspended kwa tamaa
 
Mhhh hii trick ni noma saana aisee Click 6 dolla $2 mhhh nimeiogopa mapema nisije nikawa suspended kwa tamaa
Sasa hiyo suspension huwa haiji leo... Mwanzoni mwa mwezi ujao utaona email inaingi.....

Google AdSense policy ...unfortunately...... Suspended... nyie endeleeni tu kufanya mchezo na google
 
Mhhh hii trick ni noma saana aisee Click 6 dolla $2 mhhh nimeiogopa mapema nisije nikawa suspended kwa tamaa

hahaha waskutishe we kula mitonyo kwa server za canada fanya kwa wiki mara 3. google wako vyema ila kwa strong vpn & tricks hawanusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom