algorithim
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 878
- 909
AYA,,, urongooo>>>>>uwongoWe jamaa acha urongooo!!!!
AYA,,, urongooo>>>>>uwongoWe jamaa acha urongooo!!!!
habari mkuu nina shida na wewe PM tafadhali naomba uni text mimi maana mimi nikikufata inasumbua kidgo iko limitView attachment 663852
Tatizo bloggers wengi wwa kibongo wana "work hard" na sio ku "work smart", Hata upate watembeleaji laki wa bongo unaweza kuambulia dola 20 tu kwa sababu katika hao watembeleaji laki wataoclick tangazo watakua wachache sana maana matangazo mengi ni ya kiingereza ambacho wabongo hatukitumii na hapo ukipata clicks chache za tangazo la adsense r.p.m inakuwa hovyo sana licha ya cpc ya bongo ni bei ya mabua!!!.
Hangaika na Traffic ya South Africa, Tengeneza facebook page then share post zako zenye link ya vlog yako kweye magrouop ta wasauzi, mie nmewawekwa machache kama haya, Tengeneza page then kwa kila page share kwenye magroup saba hivi maana ukizidisha unafungiwa account na fb....Kama unavyoona pichani watembeleaji haa hawafiki elfu mbili ila mpunga uliopatikana ni takribani 220,000/ tshs tena hio ni siku moja tuNon Runner and Accident Damage vehicles for Sale. SOUTH AFRICA
CHEAP CARS FOR SALE IN SOUTH AFRICA
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Cape Town Buy, Sell & Swop
Why do women cheat?
Se connecter à Facebook | Facebook
UZALO FANS
cars for sale South Africa
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Buy, Sell & Swap Cars & Car Parts in South Africa
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Kaizer Chiefs updates,AMAKHOSI4LYF ✌✌
**<b><fg=ffff1234>HLEKA UZE ULALE NGECALA**
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
PITORI MAHLANYENG JOKES (RELOADED)
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
Vaal University of Technology 2 2
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
New Xhosa Jokes/sihleka okokoko.
Durban Factory Shops
Job Opportunities in South Africa
Se connecter à Facebook | Facebook
STOLEN CARS RSA
CARS FOR SALE SA
Amahlaya esiZulu sihleka kuphela(SA)
UKHOZI FM- SIYALUTHANDA
Se connecter à Facebook | Facebook
Se connecter à Facebook | Facebook
COMEDY QHA
Chiefs Fans VS Pirates Fans ZONE
PREMIER SOCCER LEAGUE (EPL) (UCL) (CAF)
Se connecter à Facebook | Facebook
Hahaha!Sasa hiyo suspension huwa haiji leo... Mwanzoni mwa mwezi ujao utaona email inaingi.....
Google AdSense policy ...unfortunately...... Suspended...![]()
![]()
nyie endeleeni tu kufanya mchezo na google
okNAOMBA NIKUFATE INBOX NAONA UMEWEKA LIMIT NINA SHIDA NA WEWE
Hizo Audience za nje zinatengenezwaje mkuuTatizo mnapewa tips lakini hamtaki kuchukua hatua... Mnaambiwa kila siku hamieni audince ya nje ya tzz amieni USA,UK ...SA Hamtaki sasa sijui mnataka mfanyiwe nn wakuu... Mi namalizia project yangu mpya na hama audience ya tz... Kama mnataka majina na umaarufu endeleeni kuahangahika na traffic ya bongo ila kama mnataka mpunga na blogu zisizojulikana nendeni yukei ...usa huko...
Mbona wameshaelekeza mkuu. Wametuambia tushee...tutafute magroup ya njee ... Ukipata page viewz 2000 au 1500 unaweza kutengeza hela ya kutosha tuHizo Audience za nje zinatengenezwaje mkuu
Ahhaha mkuu heshima kwako mkuu,nimekutania najua wewe una-make balaa nkashangaa unasema hata 80$ hupati si ndo nkashangaa mzee.AYA,,, urongooo>>>>>uwongo
moja, kwa hio lazima awe na account 3 za adsense . Kila blog moja, tofauti na ukiwa na adsense a/c 1 unaweza kuongeza blog yng za domain.Lakini mbona google adsense wana accept kuweka ads kwenye blogspot
ok hapo nimekupata sasa hiyo ndo inakuwa hosted au non hosted?moja, kwa hio lazima awe na account 3 za adsense . Kila blog moja, tofauti na ukiwa na adsense a/c 1 unaweza kuongeza blog yng za domain.
Non hosted ni zile account za google kama YouTube + Blogspot ambazo wewe au zihost sehemu yoyote (Google ndo wana host)ok hapo nimekupata sasa hiyo ndo inakuwa hosted au non hosted?
ok nimekuonea huruma. trick ni hii. fanya Self Clicking. kama unatumia ADMOB uliyoiunganisha na app yako basi ingia playstore kisha download app ya turbo VPN kisha connect server ya Canada au USA. rudi kwenye browser zako zote za simu kisha clear cache, data and everything. rudi kwenye app yako kwenye setting clear cache, data and everything. nenda kwenye setting ya simu yako ingia kwenye option ya google kisha reset Advertising ID. kisha clear cach na data. rudi kwenye app yako bofya tangazo kisha ukiwaredirected kwenye tangazo hakikisha ubofye hata menu ya website utakayoikuta na uzuge zuge kama sekunde 30 kwa kupreview other pages kisha close browser zima data clear cache, data and everthing rudi kwenye app clear tena, rudi kwenye setting google option clear tena rudi kwenye turbo VPN clear cache and data. zima data tulia 5 seconds kisha rudi kwenye turbo boost connect server nyingine kisha rudia hatua ya kwanza kuclear cache tena na kuanza kujibofya. it works na ukifanya kwa mara 10 utaona mitonyo kwenye adsense. na hakikisha data zako za adsense unatumia kwenye kifaa kingine sio kifaa hiko hiko.
mi mwanzo nilijifunza kupitia video hii ya youtube. hawa wahindi wako vizuri sana. now najipigia pesa bureee kwa kujibofya.
usipoielewa hiyo angalia videos nyingine how to self click on admob - YouTube
[HASHTAG]#ONYO[/HASHTAG] USIKOSEE MASHARTI. PIA USIFANYE TRICK HII KWENYE ANDROID EMULATORS KAMA BLUESTACK AU NOX PLAYER AU COMPUTER KWA UJUMLA. Kule ni rahisi sana data zako kuleak kwa adsense. PIA FANYA KWA MAKINI SANA, UKIKOSEA KIDOGO TU! ACCOUNT YAKO WAKIIBAN USIJE HAPA KUNILAUMU.
Boss unaonekana umeshare kitu cha muhimu sana ila bahati mbaya mi bado sijaielewa hii trick,naomba kujua kama lazima blog yako Iwe kwenye form ya app au la maaana Huyo muhindi nimeshindwa kumuelewa,pleeeeeaase.
Shared post kutoka kwenye groups na pages hazitaonekana kwenye newz feed. Ila hakuna effect kubwa mkuuMnaomshauri atumie fb kupata traffic mwambieni pia fb wanabadilisha algorithms za newsfeed yao itakua inafavour zaidi post za friends and family.
Sijakuelewa mkuu, kwa hiyo ukishare post kutoka kwenye page itaonekana upande gani kama kwenye news feed haitakuwepo?Shared post kutoka kwenye groups na pages hazitaonekana kwenye newz feed. Ila hakuna effect kubwa mkuu
Itaonekana kwa page na groups utakazo shea...Sijakuelewa mkuu, kwa hiyo ukishare post kutoka kwenye page itaonekana upande gani kama kwenye news feed haitakuwepo?
Hapa nimekuelewa vizuri sana boss wangu,ila naomba kujua namna rahisi ya kupata AdSense account.asantekama blog yako umeiweka kwenye application na app hiyo umeiunganisha na Admob (Adsense) basi hii trick ndo itafanya kazi vyema japo kwa masharti nliyoyaweka hapo juu. kama unajiamini sana na hauna shida sana na adsense basi fanya hiyo trick ila kama bado haujaizoea adsense vizuri basi nakushauri utengeneze contents za kiingereza zenye niche ya biashara, afya kama kupunguza mwili kula and etc, technology kiasi na ishu za wordcup. usiwalenge watanzania kwenye blog yako maana nchi yetu haina thamani kwa google.
Hapa nimekuelewa vizuri sana boss wangu,ila naomba kujua namna rahisi ya kupata AdSense account.asante