Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

yea

h inabidi uwe na fb accounts nyingi na kula fb account iwe na page moja unayotumia kupost kwenye magroup, nashauri kwa page moja post mara 8 tu kwenye magroup tofauuti kila baada ya dakika 10....
Mkuu nikiboost kwa dola 5 kila siku kwa siku 30 si itapendeza zaid
 
View attachment 663852

Tatizo bloggers wengi wwa kibongo wana "work hard" na sio ku "work smart", Hata upate watembeleaji laki wa bongo unaweza kuambulia dola 20 tu kwa sababu katika hao watembeleaji laki wataoclick tangazo watakua wachache sana maana matangazo mengi ni ya kiingereza ambacho wabongo hatukitumii na hapo ukipata clicks chache za tangazo la adsense r.p.m inakuwa hovyo sana licha ya cpc ya bongo ni bei ya mabua!!!.

Hangaika na Traffic ya South Africa, Tengeneza facebook page then share post zako zenye link ya vlog yako kweye magrouop ta wasauzi, mie nmewawekwa machache kama haya , Tengeneza page then kwa kila page share kwenye magroup saba hivi maana ukizidisha unafungiwa account na fb....Kama unavyoona pichani watembeleaji haa hawafiki elfu mbili ila mpunga uliopatikana ni takribani 220,000/ tshs tena hio ni siku moja tu
Asante mkuu ..Hayo magroup nitayafanyia kazi
 
Nenda shambani kalime achana na hizo mambo za blog, tumia mwaka mmoja tu kulima matikiti (misimu mitatu tu inatosha) alaf urud kutoa ushuhuda
 
ok nimekuonea huruma. trick ni hii. fanya Self Clicking. kama unatumia ADMOB uliyoiunganisha na app yako basi ingia playstore kisha download app ya turbo VPN kisha connect server ya Canada au USA. rudi kwenye browser zako zote za simu kisha clear cache, data and everything. rudi kwenye app yako kwenye setting clear cache, data and everything. nenda kwenye setting ya simu yako ingia kwenye option ya google kisha reset Advertising ID. kisha clear cach na data. rudi kwenye app yako bofya tangazo kisha ukiwaredirected kwenye tangazo hakikisha ubofye hata menu ya website utakayoikuta na uzuge zuge kama sekunde 30 kwa kupreview other pages kisha close browser zima data clear cache, data and everthing rudi kwenye app clear tena, rudi kwenye setting google option clear tena rudi kwenye turbo VPN clear cache and data. zima data tulia 5 seconds kisha rudi kwenye turbo boost connect server nyingine kisha rudia hatua ya kwanza kuclear cache tena na kuanza kujibofya. it works na ukifanya kwa mara 10 utaona mitonyo kwenye adsense. na hakikisha data zako za adsense unatumia kwenye kifaa kingine sio kifaa hiko hiko.

mi mwanzo nilijifunza kupitia video hii ya youtube. hawa wahindi wako vizuri sana. now najipigia pesa bureee kwa kujibofya.



usipoielewa hiyo angalia videos nyingine how to self click on admob - YouTube

[HASHTAG]#ONYO[/HASHTAG] USIKOSEE MASHARTI. PIA USIFANYE TRICK HII KWENYE ANDROID EMULATORS KAMA BLUESTACK AU NOX PLAYER AU COMPUTER KWA UJUMLA. Kule ni rahisi sana data zako kuleak kwa adsense. PIA FANYA KWA MAKINI SANA, UKIKOSEA KIDOGO TU! ACCOUNT YAKO WAKIIBAN USIJE HAPA KUNILAUMU.

Nashauri asifanye hivi
 
ok nimekuonea huruma. trick ni hii. fanya Self Clicking. kama unatumia ADMOB uliyoiunganisha na app yako basi ingia playstore kisha download app ya turbo VPN kisha connect server ya Canada au USA. rudi kwenye browser zako zote za simu kisha clear cache, data and everything. rudi kwenye app yako kwenye setting clear cache, data and everything. nenda kwenye setting ya simu yako ingia kwenye option ya google kisha reset Advertising ID. kisha clear cach na data. rudi kwenye app yako bofya tangazo kisha ukiwaredirected kwenye tangazo hakikisha ubofye hata menu ya website utakayoikuta na uzuge zuge kama sekunde 30 kwa kupreview other pages kisha close browser zima data clear cache, data and everthing rudi kwenye app clear tena, rudi kwenye setting google option clear tena rudi kwenye turbo VPN clear cache and data. zima data tulia 5 seconds kisha rudi kwenye turbo boost connect server nyingine kisha rudia hatua ya kwanza kuclear cache tena na kuanza kujibofya. it works na ukifanya kwa mara 10 utaona mitonyo kwenye adsense. na hakikisha data zako za adsense unatumia kwenye kifaa kingine sio kifaa hiko hiko.

mi mwanzo nilijifunza kupitia video hii ya youtube. hawa wahindi wako vizuri sana. now najipigia pesa bureee kwa kujibofya.



usipoielewa hiyo angalia videos nyingine how to self click on admob - YouTube

[HASHTAG]#ONYO[/HASHTAG] USIKOSEE MASHARTI. PIA USIFANYE TRICK HII KWENYE ANDROID EMULATORS KAMA BLUESTACK AU NOX PLAYER AU COMPUTER KWA UJUMLA. Kule ni rahisi sana data zako kuleak kwa adsense. PIA FANYA KWA MAKINI SANA, UKIKOSEA KIDOGO TU! ACCOUNT YAKO WAKIIBAN USIJE HAPA KUNILAUMU.

ukitulia vizuri unaweza kupiga dollar 200$++ kwa siku[una-post kawaida tuu] bila hata ya hizo mambo zenye risk...
 
Hee,mbona kila siku huwa na boost post zangu fb hapa bongo? Kwahiyo niache maana ni zaid ya miaka 3 na ina impact nzur
ok mkuu..mimi sijawahi ku-boost huwa na share kawaida kwenye page na groups...kuna baadhi walio boost wakadai account zinafungwa adsense wana-assume kama unanunua traffic , kama imekupa matokeo chanya endelea..
 
View attachment 663852

Tatizo bloggers wengi wwa kibongo wana "work hard" na sio ku "work smart", Hata upate watembeleaji laki wa bongo unaweza kuambulia dola 20 tu kwa sababu katika hao watembeleaji laki wataoclick tangazo watakua wachache sana maana matangazo mengi ni ya kiingereza ambacho wabongo hatukitumii na hapo ukipata clicks chache za tangazo la adsense r.p.m inakuwa hovyo sana licha ya cpc ya bongo ni bei ya mabua!!!.

Hangaika na Traffic ya South Africa, Tengeneza facebook page then share post zako zenye link ya vlog yako kweye magrouop ta wasauzi, mie nmewawekwa machache kama haya , Tengeneza page then kwa kila page share kwenye magroup saba hivi maana ukizidisha unafungiwa account na fb....Kama unavyoona pichani watembeleaji haa hawafiki elfu mbili ila mpunga uliopatikana ni takribani 220,000/ tshs tena hio ni siku moja tu
kaka naomba no yako
 
ok mkuu..mimi sijawahi ku-boost huwa na share kawaida kwenye page na groups...kuna baadhi walio boost wakadai account zinafungwa adsense wana-assume kama unanunua traffic , kama imekupa matokeo chanya endelea..
Poa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom