Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

Bloggers wenzangu nahitaji msaada wenu

Tatizo letu watanzania, waliofanikiwa kwenye jambo huwaona wanaokuja nyuma yao kuwa ni wazembe, wavivu na wajinga. Hivi kwanini hatuna upendo kama watu wa jamii nyingine? Mtu anapofikia mahali pa kuomba msaada mahali ukaanza kumnanga hata ukimpa msaada hauna thamani tena. Tubadilike.
 
Tatizo letu watanzania, waliofanikiwa kwenye jambo huwaona wanaokuja nyuma yao kuwa ni wazembe, wavivu na wajinga. Hivi kwanini hatuna upendo kama watu wa jamii nyingine? Mtu anapofikia mahali pa kuomba msaada mahali ukaanza kumnanga hata ukimpa msaada hauna thamani tena. Tubadilike.
Kuna ukweli ndani yake. Ila sio wote
 
soma tena utaviona.
Blog yangu napost kiingereza,content nachanganya,natumia Adsense na Sio kampuni na Pia huwa napost manually sio autoblogging.......note nikipost kiswahili huwa napigwa warning ya Unsupported Language then nachofanya nikija kwenye page ya facebook naandikia title ya kiswahili.. Nadhani Kuanzia hapo umenielewa kidogo
 
View attachment 663852

Tatizo bloggers wengi wwa kibongo wana "work hard" na sio ku "work smart", Hata upate watembeleaji laki wa bongo unaweza kuambulia dola 20 tu kwa sababu katika hao watembeleaji laki wataoclick tangazo watakua wachache sana maana matangazo mengi ni ya kiingereza ambacho wabongo hatukitumii na hapo ukipata clicks chache za tangazo la adsense r.p.m inakuwa hovyo sana licha ya cpc ya bongo ni bei ya mabua!!!.

Hangaika na Traffic ya South Africa, Tengeneza facebook page then share post zako zenye link ya vlog yako kweye magrouop ta wasauzi, mie nmewawekwa machache kama haya , Tengeneza page then kwa kila page share kwenye magroup saba hivi maana ukizidisha unafungiwa account na fb....Kama unavyoona pichani watembeleaji haa hawafiki elfu mbili ila mpunga uliopatikana ni takribani 220,000/ tshs tena hio ni siku moja tu
Hapo kwenye red unamaana uwe na more than one fb page au fb Account?
Kama ni account unashaur ziwe ngapi?
 
mkuuu samahani nitumie namba zako PM kuna Kitu nahitaji tuongee samahani lakini
mkuu nataka ninunue hizo muvi zote kwenye site yako... jumla bei gani mzee mbabu, nishushie hesabu tufanye miamala, ,kaz kaz 😛😛😛😛😛😛 ndukiiiiiiiiiiii😱😱😱😱😱
 
yea
Hapo kwenye red unamaana uwe na more than one fb page au fb Account?
Kama ni account unashaur ziwe ngapi?
h inabidi uwe na fb accounts nyingi na kula fb account iwe na page moja unayotumia kupost kwenye magroup, nashauri kwa page moja post mara 8 tu kwenye magroup tofauuti kila baada ya dakika 10....
 
Back
Top Bottom