Sam Jr official
Senior Member
- Dec 21, 2017
- 108
- 100
Habarini wadau
Mimi ni kijana mwenye degree ya IT, nilikuwa nikifanya kazi kampuni ya wiafrica au cootel, sasa nimefukuzwa na ni mgonjwa nyumbani na kodi ya nyumba inanisubiri.
Na chanzo cha mapato nlichonacho kwa sasa ni blog tu,lkn blog inanipa changamoto kila nikijitahidi napata usd $ 2-5, naombeni msaada wenu wa kimawazo ili niweze kuongeza mapato ya blog, yaani niweze kuendana na hii hali.
Nitashukuru sana kwa atayeweza kunisaidia hii ishu asap
Mimi ni kijana mwenye degree ya IT, nilikuwa nikifanya kazi kampuni ya wiafrica au cootel, sasa nimefukuzwa na ni mgonjwa nyumbani na kodi ya nyumba inanisubiri.
Na chanzo cha mapato nlichonacho kwa sasa ni blog tu,lkn blog inanipa changamoto kila nikijitahidi napata usd $ 2-5, naombeni msaada wenu wa kimawazo ili niweze kuongeza mapato ya blog, yaani niweze kuendana na hii hali.
Nitashukuru sana kwa atayeweza kunisaidia hii ishu asap