Ingefungwa ingekuwa poa, kama imefikia mtu ku-like msiba.
point yangu ni kwamba kama Facebook ni a ni ya kipuuzi kwanini na sisi isifungiwe kama ilivyo china maana haina tija kama wadau wengi walivyo changia hii post kwa jazba kama una cha kuchangia kakaa kimya jamani eheee
point yangu ni kwamba kama Facebook ni a ni ya kipuuzi kwanini na sisi isifungiwe kama ilivyo china maana haina tija kama wadau wengi walivyo changia hii post kwa jazba kama una cha kuchangia kakaa kimya jamani eheee
Ingefungwa ingekuwa poa, kama imefikia mtu ku-like msiba.
jamani wadau naona wabantu sisi hii mitandao ya kijamii hususani facebook tunaitumia isivyo kwa mfano mtu kafiwa badala ya kumpa pole mtu ana LIKE inakuja kweli? dah!
point yangu ni kwamba kama Facebook ni a ni ya kipuuzi kwanini na sisi isifungiwe kama ilivyo china maana haina tija kama wadau wengi walivyo changia hii post kwa jazba kama una cha kuchangia kakaa kimya jamani eheee