Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Kila mtu ashinde mechi zake, mwemye kulewa pombe alewe, mwenye kulewa wanawake/wanaume aachwe alewe.

Lakini mwenye kutoa ushauri atoe tu, unaweza usiwe msaada kwako mleta mada, ila ukawa na manufaa kwa mwingine, huenda hata sio kizazi hiki, kijacho huko.
Vipi kuhusu walozi😂
d9e2d09b-2360-4c2c-bcd8-852b9addc03f.jpeg
 
Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .

Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Kwa mtu aliyelelewa na mzazi mwenye kipato Cha chini sana ambaye uchumi mzima wa familia umeharibika kutoka na ulevi wa mzazi au wazazi. Anaweza kuwa na maoni tofauti.
 
Back
Top Bottom