Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Ndo uhalisia.
1781495810681.gif
 
Aisee ! Kusema ukweli wengine pombe ilishawakataa, ni vile kujitia kichwa ngumu..mfano, kuna jirani yangu hapa akienda kulewa analudi saa tisa au saa kumi usiku na akilud majirani lazima tujue maana sio kwafujo hzo..mara utasikia wanagombana na mke wake nataka chakula chamoto hiki kimepoa fanya haraka washajiko unipikie..Sasa mtu kama huyo ukimshauri achane na pombe utakuwa umekosea? maana Pombe inamuendesha badala ya yeye kuiendesha..hata wenyetabia hzo humu wamo.
 
Back
Top Bottom