Umesahau acha nyetoMara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Umesahau acha nyetoMara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Ni kweli bwashee ila hawa nyumbu wanachora red line kipumbavu sanaKila mtu ashinde mechi zake, mwemye kulewa pombe alewe, mwenye kulewa wanawake/wanaume aachwe alewe.
Lakini mwenye kutoa ushauri atoe tu, unaweza usiwe msaada kwako mleta mada, ila ukawa na manufaa kwa mwingine, huenda hata sio kizazi hiki, kijacho huko.
Kwani nuksi ni kitu gani?Kama unaimudu pombe usiachee, mademu wachakate tu alafu kaoge na chumvi ya mawe nuksi zote kwishaa!
Umesahau acha nyetoMara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Huenda wanachora kwa uzoefu wao, sio mbaya wala! Waachwe wachore red line, inaweza kuwa turning point kwa baadhi ya waty. Kuna watu wana uraibu wa ngono, pombe, nyeto, nk wanahitaji constant counselling, hujui nani ataluwa msaada kwa wakati upi.Ni kweli bwashee ila hawa nyumbu wanachora red line kipumbavu sana
Eeeh pombe haipaswi inyweke na wapumbavu bwasheeHuenda wanachora kwa uzoefu wao, sio mbaya wala! Waachwe wachore red line, inaweza kuwa turning point kwa baadhi ya waty. Kuna watu wana uraibu wa ngono, pombe, nyeto, nk wanahitaji constant counselling, hujui nani ataluwa msaada kwa wakati upi.
Chumvi ya mawe inapambana na nguvu hasi, nuksi ni mikosiKwani nuksi ni kitu gani?
Na nani alithibitisha kua chumvi ndio huiondoa? Hua mnatumia vipimo gani kuona kama hiyo nuksi ipo? Na hua mnatumia vipimo gani kuthibitisha kama hiyo nuksi imeondoka?
Tafuta hela bwashee achana na uleviNaandika nyuzi kila siku ila kwa I'd hii naandika nimelewa , umeshaelewa bwashee?
Utasikia, mara ooo! nyeto ni mbaya.Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.