Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .

Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Naona leo upo unakatia
 
Back
Top Bottom