I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 1,694
- 2,990
Naona leo upo unakatiaMara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .
Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.