Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Bla-bla za Watanzania ndani ya JamiiForums

Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .

Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
IMG20260614145530.jpg
IMG20260614145534.jpg
 
Mara acha pombe utafanikiwa , mara achana na mademu utafanikiwa , mara acha kula na kunywa , sijui na taka taka nyingine za kijinga jinga .

Hatuhitaji jamii ya aina hii kwenye kizazi hiki ili kufanikiwa kiuchumi gademitt.
Kama unaimudu pombe usiachee, mademu wachakate tu alafu kaoge na chumvi ya mawe nuksi zote kwishaa!
 
Back
Top Bottom