Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa, DPP amepachikwa shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kwa hakika kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa, DPP amepachikwa shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kwa hakika kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.