Biswalo Mganga ana shida gani?

Najaribu kuwaza!!!
Ndugu wachangiaji wa huu mjadala,

Mmejaribu kuwaza ingekua wewe ndio DPP na umepewa nafasi ya ku--Negotiate na fisadi lililo - binywa na lenye mapesa?

Ni wangapi wange negotiate honestly bila kuficha some percentage wakati utaratibu wenyewe ulikua nje ya mifumo ya kisheria. Ingependeza hii loop hole angepewa lile Joka la Makengeza

Mtazamo wangu,
Bisworo alipewa nafasi yenye loop hole pana kwa corruption.
Na kwa hulka ya mwanadamu wengi wetu tunge anguka kwenye majaribu hayo.
 
Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058
Kwa hiyo mnalalamikia Biswaro kuondolewa bila kufuata sheria?
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Ndio maana sisi tunawapuuza tu
 
Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058
Dpp hajaondolewa,amepewa cheo cha ujaji na rais anayo hayo mamlaka
 
Kuna post zakipumhavu ukiona tu unajua aliepost ni ubongo uharo. Kama huyu mleta mada. Saskatchewan.
 
Kuna post zakipumhavu ukiona tu unajua aliepost ni ubongo uharo. Kama huyu mleta mada. Saskatchewan.
Mjuaji mwingine huyu hapa. Anaitwa FISI.

Kuandika tu kwenyewe ni mgogoro lakini naye yumo tu anang'ang'ana kujitutumua!
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Ubarikiwe
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!


!
!
Kwa nini hawapeleki mahakamani sasa na anabana dhamana zao?
 
Tutajuaje kama unayoyasema ni kweli au unadanganya tu?

Hebu weka hapa jina la huyo ndugu yako pamoja na taarifa zake zote (case number, hati ya mashtaka na mahakama aliyopelekwa).

Tuwekee pia na nakala ya HATI YA MAKUBALIANO YA KUKIRI KOSA ili tuone nini kilichoandikwa humo na kukubaliwa.

Maneno mingi sana nyinyi... blah blah tu.
Kwani wewe nani nikuwekee hapa? Tunachoomba ni Tribunal iundwe ndiko tutapeleka
 
Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058
Kwahiyo DPP akishachaguliwa nje na ulichoeleza ni lazima afie kwenye ofisi?,kinachowakondesha ni yeye kupata promo ,kama kazi nzuri kafanya kwanini asipewe promo?
 
Najaribu kuwaza!!!
Ndugu wachangiaji wa huu mjadala,

Mmejaribu kuwaza ingekua wewe ndio DPP na umepewa nafasi ya ku--Negotiate na fisadi lililo - binywa na lenye mapesa?

Ni wangapi wange negotiate honestly bila kuficha some percentage wakati utaratibu wenyewe ulikua nje ya mifumo ya kisheria. Ingependeza hii loop hole angepewa lile Joka la Makengeza

Mtazamo wangu,
Bisworo alipewa nafasi yenye loop hole pana kwa corruption.
Na kwa hulka ya mwanadamu wengi wetu tunge anguka kwenye majaribu hayo.
Ndiyo maana tunasema hafai kuwa Jaji. Hiyo ni kufuru, mtu aliyeandika mashataka fake na kudhulumu fedha za watu leo hii anakwenda upande wa pili akaziamulie kesi alizowatungia.

Naungana na wadau wanaopendekeza kuwa iundwe Tume ya Kijaji ya kuchunguza mwenendo wake kama ile aliyoundiwa Jaji Mwakibete mwaka 1991
 
Watu waliodaiwa fedha na Biswalo Mganga mwenyewe kwa maagizo kuwa wametumwa na Mwendazake wapo.

Ile plea bargain haikuwa wazi kwa watuhumiwa wote kama unavyodhani bali iliwalenga wanaodhani wana fedha nyingi.

Hata waliotoa hela na kuachiwa wanasema fedha waliyotoa ni zaidi ya ile iliyorwkodiwa kuwa imekwenda Benki Kuu kwa Akaunti ya DPP. Kwa hiyo aliyeandikiwa katoa Tsh 1.5 Bilion aweza akawa ametoa Tsh 2.0 Bilion.

Biswalo mwenyewe na vijana wake anao waamini ndiyo wamehusika katika kubeba hizo fedha.

Jiulize kwa nini Kompyuta za DPP Ofisi ya DSM ziliibiwa mara baada ya kupokea fedha za watuhumiwa?

Hapo ndipo suala la kumuundia Special Tribunal Biswalo Mganga kwa mujibu wa kifungu 3-8 cha Sheria Namna 27 ya 2008 ya National Prosecution Services inapokuwa ndiyo njia mwafaka ya kumaliza sintofahamu hiyo.

Mimi mwenyewe nina ndugu yangu anayekiri kumpa Biswalo hela zaidi ya zilizoripotiwa. Kama Tribunal itakuja undwa hawa ndiyo mashahidi na wako tayari ku testify
Tuambie walikotunza hizo fedha za ziada kuliko kilichoandikwa,kama hujui zilipo wewe ni mpumbavu
 
Ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwanini kati ya majaji 28 ni yeye tu alalamikiwe?
Rahisi sana ,ni eneo nyeti alilokuwepo,aliwashughulikia sawasawa wezi wa mali ya umma na kati ya wezi hao walalamikaji ni wanufaika wa pesa ambayo DPP aliirudisha serikalini
 
Back
Top Bottom