Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,870
Hii ndio Taarifa mpya ya leo ya Gazeti la Raia Mwema
Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain, iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga.
Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na kumuomba Amng'oe haraka.
Ngoja tusubiri majibu ya barua hiyo.
Kwamba kutokana na kuvuja kwa Taarifa nyingi kuhusu unyama uliotendwa kwenye kilichoitwa Plea Bargain, iliyosimamiwa kikamilifu na DPP wa wakati ule aliyeitwa Biswalo Mganga.
Wadau wamemkumbusha Mh Rais kuhusu Makando kando ya Mtu huyo na kumuomba Amng'oe haraka.
Ngoja tusubiri majibu ya barua hiyo.