Biswalo Mganga ana shida gani?

Jamaa Hana shida yyte yeye alikuwa spika Tu, maiki na waya vilikuwa kwingine , jamaa Hana hata shida , anawachora Tu, maamuz yote yalikuwa under high command ambayo mama Samia ni mmoja wapo, so unawezaje kunilaumu mimi.

The same to Ndungai, unamlaumu Ndugai ana uwezo gani wa kuingiza watu kibabe bungeni, hiyo nin kazi ya high command ambayo mama Samia ni inner part. Mimi ni mtekelezaji tu.
Kukubali kutekeleza jambo la Kijinga basi wewe ni Mjinga zaidi.....
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Wengi wao ni vilaza na wapigaji na ndugu zao wkiongozwa na #LEMA aliyekimbilia Canada kwa kujitisha mwenyewe!
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Hujiulizi kwa nini umma wa wenye kuweza kupambanua na kuhoji kati ya majaji 21 walioteuliwa hakuna anaelalamikiwa ila mmoja tu?
Huyu atakuwa kwa hakika ni mwovu maana ndie pekee doa katika wale 21 na uteuzi wote kwa ujumla.
Nami naungana na wapenda haki wote kumlaani biswalo kwa jina la JMT.

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Acha kuongea ujnga na kufikiri wote hawana akii.
Ni mtu ambaye hamnazo tu ataamini kuwa kazi ya DPP ndiyo kazi ngumu kuliko zote katika fan ya sheria.
Ofisi ya DPP ikubali tu kuwa they are inept, corrupt and lazy.

Kesi inapodumu mahakamani na kuchukua miaka minne au zaidi hicho ni kielelezo cha kushindwa kwa Idara hii ya DPP kuwa na weledi unaotazamiwa.

Mtindo wa kuendeleza corruption , ati "Plea Bargaining" na hilo genge la watu wanne ndani ofisi ya DPP, ndicho haswa kiini cha kudhihirisha kuwa ofisi hii ya DP ni makao makuu ya corrupt practices.
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Wewe mpuuzi usiyejitambua sijui umezuka kutoka wapi/sayari gani. Mosi sijawahi nchi mtu anakamatwa mhujumu uchumi halafu anaambiwa afanye negitiation na DPP alipe kiasi fulani ili aachiwe huru. Pili, waliokamatwa na uhujumu uchumi, mathalan Rugemalila na Seth Sing kila leo upepelezi haujaisha miaka 5 sasa. Lakini wakati huo huo wanaambiwa wanegotiate na DPP ili watoe kiasi fulani ili waachiwe huru. Hii haiji akilini kwa mtu yeyote mwenye kutumia ubongo wake kufikiri, labda anayetumia kiungo kingine kufikiri.
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Una hakika na mawazo na hijab zaki hizo,ukifuatilia vizuri kesi nyingi za hovyo zimeelekezwa kwa wanasiasa ,wakosoaji wa awamu ile wanaharakati wa utetezi wa haki,taasisi zilizopingana na yaliyokuwa yakifanywa kwa uonevu.Unabisha unayoiitaa jamhuri ya JF,facebook na twitter itashuhudia haya.
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
pole sana Biswalo mganga. malipo ni hapa hapa duniani, na bado!
 
Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058
Ameondolewa sieigi itakuwa dipipi. Kwani Feleshi si naye aliondolewa?
 
Back
Top Bottom