Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
FORCUS, IQ KUBWA, UPENDO, AMANI, HESHIMA NA HEKIMA.UNACHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
FORCUS, IQ KUBWA, UPENDO, AMANI, HESHIMA NA HEKIMA.UNACHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
Kubambikiza Kama Yale ya Tito Magoti au Eric KabenderaMashtaka fake ndio yakoje?
Na unajuaje kama haya ni mashtaka fake?
Umejibu nini?Kuondolewa ofisini na kuteuliwa kuwa judge ni vitu viwili tofauti na havihusiani kabisa.
Kutokufanya kazi kama DPP ndiyo kuondolewa ofisini.
Kama hawakufanya makosa kwa nini walikubali? Kwa nini waeleze ukweli juu ya genge lao Tanzaniaontweeter?Kubambikiza Kama Yale ya Tito Magoti au Eric Kabendera
I am a victim of Biswalo Mganga thuggeryWho are you?
HuiHui?
Kukubali kutekeleza jambo la Kijinga basi wewe ni Mjinga zaidi.....Jamaa Hana shida yyte yeye alikuwa spika Tu, maiki na waya vilikuwa kwingine , jamaa Hana hata shida , anawachora Tu, maamuz yote yalikuwa under high command ambayo mama Samia ni mmoja wapo, so unawezaje kunilaumu mimi.
The same to Ndungai, unamlaumu Ndugai ana uwezo gani wa kuingiza watu kibabe bungeni, hiyo nin kazi ya high command ambayo mama Samia ni inner part. Mimi ni mtekelezaji tu.
Dpp ni lazima awe na sifa za jaji ndipo ataweza kuwa DPP.Kwani DPP ameondolewa ama ameteuliwa kuwa Jaji?
Weka sheria inayosema kuwa DPP hapaswi kuteuliwa kuwa Jaji.
Wengi wao ni vilaza na wapigaji na ndugu zao wkiongozwa na #LEMA aliyekimbilia Canada kwa kujitisha mwenyewe!Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Hahahahaa...Wengi wao ni vilaza na wapigaji na ndugu zao wkiongozwa na #LEMA aliyekimbilia Canada kwa kujitisha mwenyewe!
Unapima kwa kutumia nini ili kujua kama haya ni mashtaka ya kubambikiza?Kubambikiza Kama Yale ya Tito Magoti au Eric Kabendera
Hujiulizi kwa nini umma wa wenye kuweza kupambanua na kuhoji kati ya majaji 21 walioteuliwa hakuna anaelalamikiwa ila mmoja tu?Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Acha kuongea ujnga na kufikiri wote hawana akii.Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Wewe mpuuzi usiyejitambua sijui umezuka kutoka wapi/sayari gani. Mosi sijawahi nchi mtu anakamatwa mhujumu uchumi halafu anaambiwa afanye negitiation na DPP alipe kiasi fulani ili aachiwe huru. Pili, waliokamatwa na uhujumu uchumi, mathalan Rugemalila na Seth Sing kila leo upepelezi haujaisha miaka 5 sasa. Lakini wakati huo huo wanaambiwa wanegotiate na DPP ili watoe kiasi fulani ili waachiwe huru. Hii haiji akilini kwa mtu yeyote mwenye kutumia ubongo wake kufikiri, labda anayetumia kiungo kingine kufikiri.Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Una hakika na mawazo na hijab zaki hizo,ukifuatilia vizuri kesi nyingi za hovyo zimeelekezwa kwa wanasiasa ,wakosoaji wa awamu ile wanaharakati wa utetezi wa haki,taasisi zilizopingana na yaliyokuwa yakifanywa kwa uonevu.Unabisha unayoiitaa jamhuri ya JF,facebook na twitter itashuhudia haya.Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Weee Jamaa una dharau sana sio vizuriNimeishia nilipoona umeandika fom foo, nikajua hauna uelewa wowote na ulichokiandika.
pole sana Biswalo mganga. malipo ni hapa hapa duniani, na bado!Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.
Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.
Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.
Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.
Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.
Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.
Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.
DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.
Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.
Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.
Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.
Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.
Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.
Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.
Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.
Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.
Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Ameondolewa sieigi itakuwa dipipi. Kwani Feleshi si naye aliondolewa?Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?
Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!
View attachment 1783057View attachment 1783058
Hahaaa... pole sana.pole sana Biswalo mganga. malipo ni hapa hapa duniani, na bado!