Biswalo Mganga ana shida gani?

Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Good message
 
Hiyo sheria inaitwaje?

Hebu tupatie jina la hiyo sheria!
Yaani mimi nianze kufundisha watu sheria za Tanzania?Hufuatilii sheria zinazotungwa na bunge lako?!Kwa hiyo wewe ukishachagua mbunge ni umemaliza kazi?
9876uy.jpg
0987654nb.jpg
 
Yaani mimi nianze kufundisha watu sheria za Tanzania?Hufuatilii sheria zinazotungwa na bunge lako?!Kwa hiyo wewe ukishachagua mbunge ni umemaliza kazi?View attachment 1783073View attachment 1783074
KWANZA, hujui hata jina la sheria.

Umekopi tu huko mitandaoni na wewe ukapachika tu.

PILI, hujui wala huna maarifa na ujuzi wa kusoma sheria.

Umeona tu ligazeti huko mitandaoni na wewe ukajifanya unaelewa sheria.

TATU, Rais "hajamuondoa" DPP.

Rais amemteua DPP kuwa Jaji.

NNE, hakuna sheria yoyote inayozuia DPP kuteuliwa kuwa Jaji.

Una swali lingine?
 
Umeweka hapa huu uzi wanini wakati hujui kitu?
Wewe ndiye uliyekuja hapa na habari za "kinyume na sheria".

Weka hapa hiyo sheria ili tujue kama kweli DPP ametenda "Kinyume" na hiyo sheria kama unavyodai.

Ninyi wafuasi wa mitandaoni ni BUTU sana.

Kwanza, hiyo sheria yenyewe huijui.

Umekariri tu, ati "Kinyume na sheria".

Weka basi hiyo nakala tuone!

Mfuasi BUTU sana huyu!
 
KWANZA, hujui hata jina la sheria.

Umekopi tu huko mitandaoni na wewe ukapachika tu.

PILI, hujui wala huna maarifa na ujuzi wa kusoma sheria.

Umeona tu ligazeti huko mitandaoni na wewe ukajifanya unaelewa sheria.

TATU, Rais "hajamuondoa" DPP.

Rais amemteua DPP kuwa Jaji.

NNE, hakuna sheria yoyote inayozuia DPP kuteuliwa kuwa Jaji.

Una swali lingine?
Unauliza kama nina swali wakati nimekuuliza swali hapo juu na hujajibu!Nimekuuliza Biswalo sasa hivi ni DPP?Halafu nimeweka sheria hapo juu na bado unadai niweke sheria,unajua kusoma?!
 
Kama yule aliemuondoa CAG... wote ni wale wale tu
Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
DPP alikuwa anapokea pesa za compensation ya Pre Bargain kwa mamlaka yapi ?
 
Wewe ndiye uliyekuja hapa na habari za "kinyume na sheria".

Weka hapa hiyo sheria ili tujue kama kweli DPP ametenda "Kinyume" na hiyo sheria kama unavyodai.

Ninyi wafuasi wa mitandaoni ni BUTU sana.

Kwanza, hiyo sheria yenyewe huijui.

Umekariri tu, ati "Kinyume na sheria".

Weka basi hiyo nakala tuone!

Mfuasi BUTU sana huyu!
Zero wewe, unanipotezea muda.
 
Back
Top Bottom