Biswalo Mganga ana shida gani?

Huna akili. Wewe ni goigoi usiefuatilia masuala.Unaelewa kuwa kuna sheria ambayo inazuia DPP kuondolewa kwenye nafasi yake labda awe anaumwa na kushindwa majakumu yake au labda awe amefanya serious crime?

Huyo DPP ameondolewa kwa mujibu wa sheria hiyo?Wewe ni ngumbaru sawa na aliemuondoa DPP kwenye nafasi yake bila ya kuzingatia sheria.Tanzania karibia kila mtu ni goigoi kuanzia wananchi wa kawaida hadi viongozi wakubwa. What a shame!

View attachment 1783057View attachment 1783058
Kwani amekuwa removed au kapewa majukumu yanayofanana na yenye terms za utumishi zilezile.Aliyempa ajira ndiye aliyempa majukumu hayo.Mbona mwenda zake alimstaafisha Assad kwa conditions hizo hizo zinazofanana?Kusema kweli baadhi ya viongozi kama hawa wamekosa public trust baada ya ile butter trade kufanyika na kuleta sintafahamu kwa wananchi
 
Kwani amekuwa removed au kapewa majukumu yanayofanana na yenye terms za utumishi zilezile.Aliyempa ajira ndiye aliyempa majukumu hayo.Mbona mwenda zake alimstaafisha Assad kwa conditions hizo hizo zinazofanana?Kusema kweli baadhi ya viongozi kama hawa wamekosa public trust baada ya ile butter trade kufanyika na kuleta sintafahamu kwa wananchi
Sasa hivi Biswalo ni DPP?
 
Kwahiyo DPP akishachaguliwa nje na ulichoeleza ni lazima afie kwenye ofisi?,kinachowakondesha ni yeye kupata promo ,kama kazi nzuri kafanya kwanini asipewe promo?
Siyo mimi nimeeleza.Nilichosema ni sheria ambayo ilitungwa kipindi cha Magufuli akiwa hai na sheria hiyo nimeambatanisha kwenye nilichoandika.Zipo sheria nyingi sana za kushangaza sana ambazo zilitungwa wakati wa Magufuli na watu wengi wala hawazijui kwa sababu hawafuatilii yanayoendelea nchini kwao.
 
Watu hawana shida na majukumu ya DPP,, bali wanashida na utendaji wake. Wanamtuhumu kwa kuwabambikia watu kesi.

Wanmtuhumu kujivika madaraka ya kupokea fine na kuziweka kwenye account yake kinyume cha sheria (Ufisadi).

Tuhuma hizi zipo mitandaoni wengi tumeziona, tungefurahi hizi tuhuma ungezijibu. Lakini ukituhumu wanaokutuhumu haikusafishi wewe, bali inaleta shaka zaidi kuwa pengine ni kweli uliyafanya haya.
KWA HIYO
 
Siyo mimi nimeeleza.Nilichosema ni sheria ambayo ilitungwa kipindi cha Magufuli akiwa hai na sheria hiyo nimeambatanisha kwenye nilichoandika.Zipo sheria nyingi sana za kushangaza sana ambazo zilitungwa wakati wa Magufuli na watu wengi wala hawazijui kwa sababu hawafuatilii yanayoendelea nchini kwao.
UNACHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Low mind from empty IQ.

Ni uwendawazimu, kuwakamata watu, kuwaweka ndani kwa miaka, kila wakati kueleza kuwa eti uchunguzi haujakamilika. Pumba.vu kabisa DPP - kama hukuwa na ushahidi wowote, kwa nini mlimkamata?

Mtu akiwa tu na hela kubwa, anakamatwa, halafu anawekwa gerezani, ndiyo mashtaka yanaanza kutafutwa. Akija na mashtaka, atamrundikia mtuhumiwa zaidi ya makosa 30, na mojawapo lazima liwe la uhujumu uchumi au utakatishaji fedha haramu,, mwisho wa siku, mtuhumiwa anaambiwa akiri hakulipa kodi stahiki, alipe aliyopangiwa.

Kati ya shetani wakubwa wakati wa awamu ya 5, ni huyo Mganga. Ametesa sana watu, na amedhulumu sana watu. Kuondolewa tu haitoshi, nina hakika kuna siku, adhabu inayomstahili itamfuata. Na sala zetu kwa Mungu wa haki, amtazame huyu mganga, wakala wa ibilisi, auobe uovu wake, na amlipe kwa kadiri ya stahili yake.
 
Ni uwendawazimu, kuwakamata watu, kuwaweka ndani kwa miaka, kila wakati kueleza kuwa eti uchunguzi haujakamilika
Ukiwa muuza ngada utakamatwa muda huo huo bila kusubiri.

Uchunguzi utaendelea wakati tayari tumeshakudhibiti.
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Mungu wangu! Huyu naye yumo humu JF! Mbona sasa kaja jukwaani akiwa amesahau akili kijiweni alikokuwa? Hata kama mmetoka wote kanda ya ziwa, kanda ya mwendazake basi mje na akili JF.
 
Hii "Jamuhuri ya mitandao" ina vichekesho vingi sana na vya kusisimua.

Kelele ni nyingi sana kwenye Jamuhuri hii ya mitandao.

Mpaka sasa wamempachika DPP shutuma nyingi ikiwemo kubambikia watu kesi na kudhulumu fedha.

Sifahamu kama wanaoyasema hayo ni wahanga wa mkono wa DPP ama ni wafuasi tu wa Twitter na Facebook.

Lakini kwa vyovyote vile, naamini wengi wao ni wafuasi tu wa mitandaoni.

Humu mitandaoni kuna wajuaji wengi sana. Lakini bahati nzuri ni wajuaji wasiojua kitu.

Hata waliofeli fom foo, nao wanamuelekeza DPP jinsi ya kufungua mashtaka na kufanya kazi zake.

DPP ni ofisi yenye watu na mifumo ya uendeshaji wa mashtaka.

Kila faili la mashtaka ya jinai linalokuja mezani kwa DPP lina mlolongo mrefu kutoka TAKUKURU, POLISI, TISS na kwingineko.

Kazi ya DPP sio kuamka tu na kubambikiza watu kesi. Kuna prosecutorial process.

Hawa wajuaji wa mitandaoni wanaojivika ujuvi wasiokuwa nao, ni genge tu la wafuasi wasiojitambua.

Katika miaka mitano, tumeshuhudia jinsi mafisadi yalivyobinywa na kushughulikiwa.

Wauza ngada, majangili, wakwepa kodi na wezi wa mali ya umma walinyooka kama rula.

Haya majizi kwa vyovyote vile yana wafuasi mitandaoni.

Sitarajii kuona majizi haya yakifurahia kazi njema ya DPP.

Vinginevyo watuambie, kibaya ni kipi hasa alichokifanya DPP.

Kama kushughulikia majizi ni "jambo baya", basi hewala. Na iwe hivyo!
Huyu jamaa wakati wote alijiona ni MUNGU mtu. Alitumia ofisi yake na madaraka yake kutisha watu. Aliwahi kumwambia Lema kuwa anamtafutia kesi isiyo na dhamana.
 
Ndiyo maana tunasema hafai kuwa Jaji. Hiyo ni kufuru, mtu aliyeandika mashataka fake na kudhulumu fedha za watu leo hii anakwenda upande wa pili akaziamulie kesi alizowatungia.

Naungana na wadau wanaopendekeza kuwa iundwe Tume ya Kijaji ya kuchunguza mwenendo wake kama ile aliyoundiwa Jaji Mwakibete mwaka 1991
Hivi maana ya dhuluma inayotumika hapa ndo wote tunaelewa hapa?!!

Mfano jambazi likaiba pesa, halafu polisi akalikamata.
Akaliambia lete pesa uliyoiba,
Jambazi likatii, kisha polisi huyu asiye mwaminifu akachukua robo ya pesa hizo na kisha iliyobaki akamrudishia aliyeibiwa. Na jambazi likaachiwa huru

Je, hapa jambazi hili litakua limedhulumiwa??!

Acheni utani. Hakuna dhuluma yeyote.
 
Jibu swali we mbwiga. Ameondolewa ofisini au ameteuliwa kuwq jaji? Weka kifungu kinachomzuia kuteuliwa kuwa jaji.
Kuondolewa ofisini na kuteuliwa kuwa judge ni vitu viwili tofauti na havihusiani kabisa.
Kutokufanya kazi kama DPP ndiyo kuondolewa ofisini.
 
Back
Top Bottom