Ahsante saana Dena kwa hii taarifa, mpe pole saana mwana JF mwenzetu. Anatakiwa kuwa na uvumilivu na kumshukuru Mungu kwa kila jambo!!!!!!!!! Huo ndio ukubwa ati, kuyakabili majukumu ya ukubwa!!!!!!Kama jina lake Bishanga abashaija, nampa pole na kumtakia amani na utulivu pamoja na familia yote kwa wakati huu wa msiba. Mbarikiwe!!!!!!!!!!!Nimepokea taarifa sasa hivi kuwa Member mwenzetu (Bishanga) amefiwa na Baba yake Mzazi.
Napenda kutoa pole za dhati kabisa kwa Familia nzima ya Bishanga.
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Baba yetu mpendwa.
AMEN