Sad moment in my life ever

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
SAD NEWS TO MY FAMILY

Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma.

Hakika nahitaji maombi yenu katika kipindi hiki Kigumu. Mpaka Sasa nipo safarini kuelekea Kigoma kwa ajiri ya mazishi japo Safari itanichukua siku 3 mpaka kufika Nyumbani.

Kwahiyo huenda baba yangu akazikwa bila uwepo wangu Kutokana na Safari kuwa ndefu Sana kuelekea Nyumbani.

R.I.P My Father, Mungu ailaze Roho yako Mahala pema Peponi,Amen.

View attachment 2439044
mourning-victims-with-candle_52683-40709.jpg
 
SAD NEWS TO MY FAMILY

Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma. Hakika nahitaji maombi yenu katika kipindi hiki Kigumu. Mpaka Sasa nipo safarini kuelekea Kigoma kwa ajiri ya mazishi japo Safari itanichukua siku 3 mpaka kufika Nyumbani. Kwahiyo huenda baba yangu akazikwa bila uwepo wangu Kutokana na Safari kuwa ndefu Sana kuelekea Nyumbani.R.I.P My Father,Mungu ailaze Roho yako Mahara pema Peponi,Amen.

View attachment 2439044View attachment 2439045
Pole Sana mkuu
 
Pole mkuu, kifo ni ukurasa wa mwisho wa kitabu cha mwanadamu yeyote
 
SAD NEWS TO MY FAMILY

Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma. Hakika nahitaji maombi yenu katika kipindi hiki Kigumu. Mpaka Sasa nipo safarini kuelekea Kigoma kwa ajiri ya mazishi japo Safari itanichukua siku 3 mpaka kufika Nyumbani. Kwahiyo huenda baba yangu akazikwa bila uwepo wangu Kutokana na Safari kuwa ndefu Sana kuelekea Nyumbani.R.I.P My Father,Mungu ailaze Roho yako Mahara pema Peponi,Amen.

View attachment 2439044View attachment 2439045
Pole sana Mkuu,
Mungu akutie nguvu katika kipindi chote kigumu,
Bwana alitoa na Sasa ametwaa,Jina la Bwana lihimidiwe.
Apumzike kwa amani Baba.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom