MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
SAD NEWS TO MY FAMILY
Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma.
Hakika nahitaji maombi yenu katika kipindi hiki Kigumu. Mpaka Sasa nipo safarini kuelekea Kigoma kwa ajiri ya mazishi japo Safari itanichukua siku 3 mpaka kufika Nyumbani.
Kwahiyo huenda baba yangu akazikwa bila uwepo wangu Kutokana na Safari kuwa ndefu Sana kuelekea Nyumbani.
R.I.P My Father, Mungu ailaze Roho yako Mahala pema Peponi,Amen.
View attachment 2439044
Nimepokea kwa masikitiko makubwa Kifo Cha baba yangu Mzazi Ndugu DAUD JACKSON MUHOFU Kilichotokea Leo tarehe 7/12/2022 kwa ajari ya Ghari Nyumbani Mkoani Kigoma.
Hakika nahitaji maombi yenu katika kipindi hiki Kigumu. Mpaka Sasa nipo safarini kuelekea Kigoma kwa ajiri ya mazishi japo Safari itanichukua siku 3 mpaka kufika Nyumbani.
Kwahiyo huenda baba yangu akazikwa bila uwepo wangu Kutokana na Safari kuwa ndefu Sana kuelekea Nyumbani.
R.I.P My Father, Mungu ailaze Roho yako Mahala pema Peponi,Amen.
View attachment 2439044