Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,812
Na bado utaendelea kumgharamikia
Ndio ujinga wa wasukuma huooo
andika hasara tu..demu anaekupangia masharti hafaimkuu inaniuma nimetumia hela nyingi kwqa ajili yake
Nikajua umenyimwa papuchi.. Kumbe umeambiwa ukapime ndo unakuja kulialia humu!! Kama huna ukimwi bhasi una matatizo ya akilii..siogopi mbona hela hakusema nimpe baada ya kufunga ndoa
Nje ya mji wakaangalie mazingiraa alafu yeye ghafla anataka mateila wanaume tunaisha asee
badala ya kumuita mwanamke lodge/geto wewe unamuita NJE YA MJI! kweli?
nje ya mji ndo wapi huko chifu tuanzie hapa kwanza.![]()





Wewe ushawahi muomba papuchi kabla???siogopi mkuu ila hela anapenda mzigo anazingua na kwann asiseme siku zote tulipoanza mahusiana aane juzi tu
Hivi kwa nini wanaume wengi hawapendi kupima?