Binti wa namna hii unamfanyaje?

Binti wa namna hii unamfanyaje?

Habari wanaJamiiForums

Niende kwenye mada. Kuna binti mmoja ambaye nimemtongoza yapata miezi 5 iliyopita, japokuwa alikuwa ananisumbua kidogo jinsi ya kumpata ilibidi nitumie pesa kiasi hapo ndipo alipoanza kulainika na nikamtia mikononi mwangu.

Sasa nimeishi naye yapata miezi 5 bila ya kumuomba mechi ila niliendelea kumuhudumia kama kawaida kwa mahitaji yake. Sasa Jumamosi iliyopita nikatoka naye nje ya mji kidogo kwa matembezi ya hapa na pale, wakati tupo maeneo nikaanza kwa kumchokoza anipe ROMANCE.

Huwezi kuamini binti aliniruka kwa kuniambia hawezi kunipa romance mpaka tukapime kwanza kwa kuwa haamini mtu, nilijitahidi kumbembeleza lakini wapi alinikatalia katakata kunipa romance wala kuutoa mwili wake mpaka tukapime. Tulibishana ikafika muda kila mtu akashika njia yake kuelekea anakokujua yeye. Akaniambia kama sitaki kupima hanipi chochote kila mtu ashike njia zake.

Kinachoniuma amekula hela zangu nyingi halafu ananibania na sio kwamba naogopa kupima ila kwanini anipangie masharti yeye kama nani wakati hela hajawahi kuniambia sitaki nimpe mpaka tukifunga ndoa. Inaniuma sana.

Ushauri wenu wakuu, nifanyeje maana tukienda kupima ninaweza kwenda lakini nahofia siku nyingine atakuja na mada anayotaka yeye niitimize ili niweze kupata kitu fulani

Ahsanteni
Kwanza kabisa hongera kwa kupata binti anaejielewa.

Pili pole sana kwa kuwa mpenzi mtazamaji

Ova
 
Jamaa itakuwa Kaungua sijui anataka amuue mtoto wa watu kisa vihela alivyompaaa...
Ama ni yeye jamaa hajiamin, haiwezkan Ashindwe kupima Afya kukosa anachotaka..
MiMi nlishawahi kudate na nurse wa hospital, tulivyokutana hata kabla ya french kiss alkuja na HIV test na tukapima wote afta while majibu yaltoka Vzur akaruhusu mechi ichezeke ingawa na Kinga ili kuzuia magonjwa mengine yanayosababshwa na kujamiiana.
 
Pimeni mkuu then kula ku@ma kiusitadi zaidi halafu anza kulinga na wewe sasa maana tayari umeshapata kile ulichokuwa unahitaji toka kwake.
 
Mkuu anachoona ni kwamba akitimiza sharti la kupima basi Manzi ndio ataona jamaa ni wa kufuata command zake so baada ya hapo mengine yatayofuata itakuwa manzi ndio dereva.. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ila mkuu kubali tu uumie ili lengo lako litimie. otherwise piga chini mademu bado wengi
 
unafel wap mkuu , shida c kupima ty na unajiamin , kapimee ulee mzigoo hlf pigaa chinii
 
Mkuu anachoona ni kwamba akitimiza sharti la kupima basi Manzi ndio ataona jamaa ni wa kufuata command zake so baada ya hapo mengine yatayofuata itakuwa manzi ndio dereva.. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ila mkuu kubali tu uumie ili lengo lako litimie. otherwise piga chini mademu bado wengi
sio kwamba naogopa,ila naona binti anataka control kwamba kila atakacho yeye nifanye
 
Wewe fala kabisaa
Huyu binti anaejielewa anafanana na demu wangu. Hakuna kuamini maneno tu .... taadhari lazima ichukuliwe kwa gharama yoyote ile ata Kama Ni kumpoteza umpendae.

Watu wamekufa kizembe Sana kwa Kuendekeza nyege
 
Habari wanaJamiiForums

Niende kwenye mada. Kuna binti mmoja ambaye nimemtongoza yapata miezi 5 iliyopita, japokuwa alikuwa ananisumbua kidogo jinsi ya kumpata ilibidi nitumie pesa kiasi hapo ndipo alipoanza kulainika na nikamtia mikononi mwangu.

Sasa nimeishi naye yapata miezi 5 bila ya kumuomba mechi ila niliendelea kumuhudumia kama kawaida kwa mahitaji yake. Sasa Jumamosi iliyopita nikatoka naye nje ya mji kidogo kwa matembezi ya hapa na pale, wakati tupo maeneo nikaanza kwa kumchokoza anipe ROMANCE.

Huwezi kuamini binti aliniruka kwa kuniambia hawezi kunipa romance mpaka tukapime kwanza kwa kuwa haamini mtu, nilijitahidi kumbembeleza lakini wapi alinikatalia katakata kunipa romance wala kuutoa mwili wake mpaka tukapime. Tulibishana ikafika muda kila mtu akashika njia yake kuelekea anakokujua yeye. Akaniambia kama sitaki kupima hanipi chochote kila mtu ashike njia zake.

Kinachoniuma amekula hela zangu nyingi halafu ananibania na sio kwamba naogopa kupima ila kwanini anipangie masharti yeye kama nani wakati hela hajawahi kuniambia sitaki nimpe mpaka tukifunga ndoa. Inaniuma sana.

Ushauri wenu wakuu, nifanyeje maana tukienda kupima ninaweza kwenda lakini nahofia siku nyingine atakuja na mada anayotaka yeye niitimize ili niweze kupata kitu fulani

Ahsanteni
Mi nakuita wewe BOYA
Umeogopa kwenda kupima na keshakurahisishia?!
Anajitambua huyo mwanamke, atakuona wewe ndio hujielewi. Sasa unaomba ushauri wa nini kisa kutoa hivyo vihela mkuu?
 
Jamaa bwege sana una Mambo ya kilofa sana

Sasa Kama demu ana ngoma hataki kukupa we ulazimisha ukipata utamlaumu Nani

Watu Kama nyie mnakera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom