Binti wa namna hii unamfanyaje?

Binti wa namna hii unamfanyaje?

Pole sana Mkuu. Hakika hilo ni pigo kubwa. Unga juhudi labda anaweza kutia nia
 
Wewe bwege huoni huyo ndio mtu mzuri? Vipi kama yeye ndio ana ngoma hataki kukuambukiza?au wewe unaogopa nini?
siogopi mkuu ila hela anapenda mzigo anazingua na kwann asiseme siku zote tulipoanza mahusiana aane juzi tu
 
ila wanaume tunaisha asee😂😂
badala ya kumuita mwanamke lodge/geto wewe unamuita NJE YA MJI! kweli?

nje ya mji ndo wapi huko chifu tuanzie hapa kwanza.🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna kikao cha wanaume wote kasoro mashoga .....leo usiku saa 7 maana uchebe na huyu mleta uzi wamezingua vibaya
 
Kikatiba ya mabaharia mpaka hapo ushafeli!
Hukufanya tathmini vizuri wewe ukawa unampa tu vibunda arifu halafu wahuni wanakupigia kiulaini ..

Piga chini au mtafutie mbinu nyingine aingie kwenye Target then mpige Pumb* la kibabe halafu unabwaga mazima.!
nisaidie hiyo mbinu baharia maana naona huko mbele anaweza nigeuka tena akaleta mashauzi mengine
 
inaelekea haujali kabisa afya yako, uyo binti anajitambua katoa sababu za msingi, nendeni mkapime alafu akikataa tena ndo uje kulalam
 
Aaaah nimeskitika sana, hii halI iliwai mtokea jamaa Wang wa Karibu sana

Ilikuwa 2011 tulikuwa secondary jamaa alkuwa anampenda bidada wa kuitwa Diana tangu wakiwa kidato cha pili maaan Mimi iliamia kidato cha tatu, jamaa alianza kumhudumia dem Kwanzia kulipa hela za madarasa ya mchana mpka kumlipia hostel Tukiwa kidato cha nne Lakin hakuwai onja tunda sasa
NB;KWA BIDADA KWAO WALKUWA WANAJIWEZA LAKIN JAMAA ALKUWA ANAONESHA UPENDO teh teh teh

JAMAA alkuwa akiomba game dem anamwambia wakapime jamaa anakosa point na mbinu siku znaenda ivo

Ilkuja kutokea dem kaumwa sana alafu chanzo cha ugonjwa ni kwamba alkuwa Ametoa mimba
itaendeleaaa.........
 
ninavyojua hiyo ID yako ni ya mtu mmoja malaya sana kwenye muvi gani sijui nimesahau. Sasa inaonekana bint akikaa na wewe anasikia harufu ya roughrider tuu ndio mana anakuzingua.
 
Sasa kukwambia mpime ndo unamind?
Shukuru umempata anayejali afya yake wengine unadumbukiza tu kesho kutwa mnakutana angaza.
 
Back
Top Bottom