Binti wa namna hii unamfanyaje?

Binti wa namna hii unamfanyaje?

siogopi mkuu ila hela anapenda mzigo anazingua na kwann asiseme siku zote tulipoanza mahusiana aane juzi tu
Sasa wewe ulitoaje hela nyingi hivyo kabla ya mzigo?
Mi kama demu sijamla mwisho wa kumpa huwa ni buku 5 na hiyo ni kwa demu ambaye nimekamatika beki hazikabi.
Ila kama sijadata sana sitoi hata mia mbovu unless nmekula mzigo.
 
Sasa wewe ulitoaje hela nyingi hivyo kabla ya mzigo?
Mi kama demu sijamla mwisho wa kumpa huwa ni buku 5 na hiyo ni kwa demu ambaye nimekamatika beki hazikabi.
Ila kama sijadata sana sitoi hata mia mbovu unless nmekula mzigo.
Lengo lilikuwa ni kumlainisha mkuu
 
Sugar mamy wake za watu na madada poa wataendelea kupta wafuasi wa kutosha maana hawana masharti ya kisengerema na wanatoa huduma nzri kuliko wanavyoonekana physically. Broo piga chini hamisha majeshi kwingne. Tunataka tuende uchumi wa upper middle income hatuna muda wa kupoteza Kwenye Papuchi yenye mashrti kama mgombea ubunge alienda kwa mganga wa kienyeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kilaza mmoja mwenye kustahili kupewa tuzo ya upuuzi. Yani mpaka unakuja kuuliza hapa hujui kwa nini kakukatalia?
Sorry kwa kukutukana lakini sikuwa na namna.
 
kwanza ujue huna mapenzi nae ya dhati!

pili chagua moja

1.kapime bila yeye kujua ukikuta fresh mpe results kisha nenda nae mkapime pamoja ukikuta positive mara ya kwanza kupima achana nae!
2. usipime kama huna roho ya chuma, hivyo achana nae fasta tafuta mwingine asiejali kupimana ila awe katulia sio uende kuokota buguruni utakufa na ukimwi!!
 
wewe mbuzi kweli.

kwanza kabla hujaanza kumpa hela unatakiwa uwe ushamuonja hata kwa kumbaka.

kumbe wewe Ni mjinga.

duh.
 
Back
Top Bottom