Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
Hapo penye nyekundu umeelewaje? nakusaidia ''bei yaweza kuanzia $2,271 na kuendelea''
Pia waweza kwenda tembea na kupiga picha bure haikatazwi .....:lol:
Hapo penye nyekundu umeelewaje? nakusaidia ''bei yaweza kuanzia $2,271 na kuendelea''
kaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu
Ni hela ndefu but inategemea na state yako ya maisha. Mwingine ataiona kubwa, mwingine ataiona ni vijisentimkuu rejao $2000 per night we unaona pesa ndogo? Million kama 3 kwa kulala tu!
hiyo pesa ni ya charity, yuko na charity yake inaitwa heart foundation, wanachanga mahela huku majuu ( wazungi) kwa ajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya moyo yeye anatanua nao! ngoja niwataharifu, na hizi picha watapazipatambona watudanganya watu wazima?
Burj Al Arab Hotel Dubai
Burj Al Arab Hotel Dubai
P.O.Box 74147 Dubai, United Arab Emirates
Star Ratings:
Location :
Jumeirah Beach
Rooms:
202
Hotel Map
Housed in an ultra-modern 321 metres high construction, the superior five-star rated Burj Al Arab Hotel Dubai has 202 spacious, modern designed, luxuriously decorated and comfortably furnished rooms which each come with the most comprehensive amenities guaranteeing a most enjoyable stay. Burj Al Arab Hotel Dubai also boasts superb leisure facilities along with two excellent restaurants, café and bar/lounge area, from US$ 2,271per night
Inakuhusu nini wewe???:juggle:
is not a jasho, pesa za heart faundationSioni tatizo hapo, as long as anatumia fedha ambayo ni Jasho lake.
Pia waweza kwenda tembea na kupiga picha bure haikatazwi .....:lol:
Kama ulikuwa unampiga makonzi enzi izo, basi sa ivi na yeye ni zamu yake kukupiga makonzi! enjoy mtoto wa Makamba ukishamaliza kustarehe unaingia bungeni tukupe na uwaziri basi maisha yanaendakaaah!!nakumbukaaa zamanii nikisomaa nae..nilikuwa na mpigaa ma kweziii,alikuwaaa hana mvuto kabisaaa.now na mtamaniii ilaa hatanikumbukaa nilivyo paukaa huku sanyaa juu nalimaaa viazii we achaa tu
Kama ulikuwa unampiga makonzi enzi izo, basi sa ivi na yeye ni zamu yake kukupiga makonzi! enjoy mtoto wa Makamba ukishamaliza kustarehe unaingia bungeni tukupe na uwaziri basi maisha yanaenda
wabongo fanyeni kazi acheni kupiga maneno yasiyo na tija. hata akilala hoteli inayolipa dola laki moja kwa siku ni sawa na kumbuka kulala hoteli ya dola elfu kumi kwa siku haimaanishi kuwa mshahara wake lazima uwe juu ya pesa hiyo. hapo hotelini anachopata ni huduma hachukuin pesa. sasa sielewi cha ajabu nini? unajua gari anayotembelea ni ya pesa ngapi? . fanya kazi hizo maneno zitakuzika masikiniBurj al Arab nijuavyo mimi per night ni dola elfu 10
mshahara wake ni dola sijui kiasi gani lakini itakuwa zaidi ya hiyo
safi sana mama huu ndio wakati wako kula nchi na kilichobaki tafuta kijana unayeendana naye akupe kampani tuuu
hivi jamani nafasi za kazi voda zipo?
AN AMAZING DAY WITH MY FRIEND...
huyu ndio kiboko ya ma sista duu wa Dar...mkwanja anao...ofisi ni airpot lounges, hana shida ya pesa, mume mzungu what more could a girl ask for?
hiyo pesa ni ya charity, yuko na charity yake inaitwa heart foundation, wanachanga mahela huku majuu ( wazungi) kwa ajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya moyo yeye anatanua nao! ngoja niwataharifu, na hizi picha watapazipata
Kumbe Rejao wakati mwingine unaweza kuwa mkombozi, tuliisha fungwa kamaba!!!!!!!!mbona watudanganya watu wazima?
Burj Al Arab Hotel Dubai
Burj Al Arab Hotel Dubai
P.O.Box 74147 Dubai, United Arab Emirates
Star Ratings:
Location :
Jumeirah Beach
Rooms:
202
Hotel Map
Housed in an ultra-modern 321 metres high construction, the superior five-star rated Burj Al Arab Hotel Dubai has 202 spacious, modern designed, luxuriously decorated and comfortably furnished rooms which each come with the most comprehensive amenities guaranteeing a most enjoyable stay. Burj Al Arab Hotel Dubai also boasts superb leisure facilities along with two excellent restaurants, café and bar/lounge area, from US$ 2,271per night
miguu imekomaa kaa mchimba makaburi
Kweli habari za tajiri muulize maskini, hatakosa cha kukumbia