Hapo utaambiwa unaringa 😀 😀 😀
Hii ya kuringa nakutana nayo kila sehemu,nimeshaizoea
Sasa swali linakuja nikiringa wao wanapungukiwa nini 😅
Hapo utaambiwa unaringa 😀 😀 😀
Na kazi ikikukosesha amani, utaiona chungu.Hii ndio shida
Amani kuwepo ni ngumu
Mkuu tunafanya hivi siku zote ila unakuta mtu anakutengenezea mazingira..Katika ajira siku zote, ingia muda unaopaswa kuingia, fanya unachopaswa kufanya kwa weledi mkuu, chochote kisichokuhusu na kiso na athari yeyote kipuuze kama vile hukioni. Muda wa kuondoka ukifika fanya kama vile umefukuzwa, ni kwamba toka nduki uende nyumbani.
Wafanyakazi wenzio sio rafiki zako. Ujamaa wenu unaishia pale muda wenu wa kazi unapoishia.
Kubwa na la muhimu zaidi, hakuna anaekupenda kazini hivyo usitarajie kuwa kuna anaethamini uwepo wako hapo. Kila rafiki wa kazini ni snitch wako ikitokea akapata fursa ya kukusnitch.
Basi acha kufanyia kazi maneno ya majungu, ila kama una uhakika simama kiume kataa upumbavu heshima itafuata mkondo labda kamaiuo kazi ni ya nyumbani kwa mtuWhat if muhusika yupo karibu na boss? Inabidi utulie tu mkuu unatafuta ustaarabu mwingine.
Anaecheza na ajira yako basi huyo anacheza na maisha yako, ni adui yako. Deal nae kama adui vile.Mkuu tunafanya hivi siku zote ila unakuta mtu anakutengenezea mazingira..
Ukizoea aina ya watu wanaokuzunguka inafika muda huwajali sana wanavyokutreatNa kazi ikikukosesha amani, utaiona chungu.
Hii ni mbinu muhimu sana lakini kuna wakati wanafos kukutengenezea situationWe chakufanya kaa kimya Sana usipende kujenga mazoea na wanawake iwe kazini ,iwe mtaani, Sehemu yoyote ile.
Msalimie Mtu inatosha hakikisha unakaa mbali na KE
Hongera upo self employedHizo kazi zenu za kuajiriwa mna shida sana
Bongee mojaa la ujumbee..ndo nayoyapitia saivi daah..I f u can't fight them just leave them......nafkiria kubadilisha mazingiraa..maisha yang ni muhim kuliko chochoteeAnaecheza na ajira yako basi huyo anacheza na maisha yako, ni adui yako. Deal nae kama adui vile.
All is fair in love and war. Ukipata chance ya kumdhibiti usifikirie mara mbili.
Ila kumbuka kazi inatafutwa ila sio uhai. Ukiona madhara ya chuki zao yanaweza kuathiri uhai wako basi jiepushe na shari kwa kutafute kwingine ndugu.
Afya yako ya akili ni muhimu kuliko ujira wa kazi. Usiruhusu wapumbavu wachache waharibu furaha yako.
Ukiona havivumiliki na huna njia ya kuvibadilisha basi ni wakati wa kubadilisha mazingira yako ndugu.
Shukrani mkuuAnaecheza na ajira yako basi huyo anacheza na maisha yako, ni adui yako. Deal nae kama adui vile.
All is fair in love and war. Ukipata chance ya kumdhibiti usifikirie mara mbili.
Ila kumbuka kazi inatafutwa ila sio uhai. Ukiona madhara ya chuki zao yanaweza kuathiri uhai wako basi jiepushe na shari kwa kutafute kwingine ndugu.
Afya yako ya akili ni muhimu kuliko ujira wa kazi. Usiruhusu wapumbavu wachache waharibu furaha yako.
Ukiona havivumiliki na huna njia ya kuvibadilisha basi ni wakati wa kubadilisha mazingira yako ndugu.
Kumbe tunapitia wengi sana haya majangaBongee mojaa la ujumbee..ndo nayoyapitia saivi daah..I f u can't fight them just leave them......nafkiria kubadilisha mazingiraa..maisha yang ni muhim kuliko chochotee
Umeandika mambo mazuri tupu. Na itasaidia wote watakao isoma na kuitafakari na kuichukia kabsaKatika ajira siku zote, ingia muda unaopaswa kuingia, fanya unachopaswa kufanya kwa weledi mkuu bila kufanya ushindani na wengine. Acha utendaji wako uongee wenyewe.
Chochote kisichokuhusu na kisicho na athari yeyote kwako ama ajira yako basi kipuuze kama vile hukioni.
Boss sio rafiki yako na haijalishi kwa kiasi gani anaonyesha kukupenda, ni kwamba anapenda nguvu yako na utendaji wako kwa wakati husika, akikosa matumizi na wewe atakuondosha bila kufikiria mara mbili.
Muda wa kuondoka ukifika fanya kama vile umefukuzwa, ni kwamba toka nduki uende nyumbani. Kazini sio kijiwe cha soga, usiweke mazoea sana.
Wafanyakazi wenzio sio rafiki zako. Ujamaa wenu unaishia pale muda wenu wa kazi unapoishia. Hawapaswi kujua zaidi ya kile chenye mahusiano na kazi yenu.
Kubwa na la muhimu zaidi, hakuna anaekupenda kazini hivyo usitarajie kuwa kuna anaethamini uwepo wako hapo. Kila rafiki wa kazini ni snitch wako ikitokea akapata fursa ya kukusnitch atakuuza bila jitimai ya nafsi.
Leo nimewaza mengi sana mkuuHii ni shida
Kuna jamaa yangu kwenye kitengo chake yupo me 1 na ke 5, mwanzo walikuwa me 2 ila mwenzie uzalendo ulimshinda akaachia ngazi.
Hivyo na jamaa nae anafanya michakato ya kusepa.
Maana anakwambia hana amani na kazi kabisa, sababu ya hao mademu.
Mkuu ujakutana na situation wewe sure nakuambia omba usipitiwe na huu upuuziMkiambiwa mjiajiri mnaona watu wajinga ukute umeajiriwa na mtu alie jiajiri. Ukiona kazi huwezi acha sitaki kuamini mtu anaejiheshimu asiefuatilia ya watu anaweza letewa figisu kama mwanaume kuwa na misimamo yako hutayumbishwa. Alafu unaandika kama wanaokuletea figisu wapo jf na kama wapo wataje mwaga nyongo